Leo ni ndoa ya Diamond na Zari?

Leo ni ndoa ya Diamond na Zari?

Anaolewa au wanacheza video ya wimbo?
Anaolewaje nyumbani kwa diamond?
Mwanamke wa kiislam najua ndoa ni kwao, [emoji3][emoji3]
Wazazi ndugu wapo wapi[emoji108][emoji108][emoji108]
WAPAMBANE TUU NA HALI ZAO HAMNA KIKI HAPA.
BTW hata akiolewa kuna mke wa 2 wa 3 hadi wa 4 labda ajivunie kuwa bi mkubwa

Sasa unawapangia maisha au?
Acha hizo bana.. naona una mwendo wa wivu.com
 
SEDUCE ME.

Hii ngoma imesababisha watu kuoana dadeq

Hakuna ndoa hapo,hii ni kiki ya video ya Mondi ya harusi
Mna mambo yakizamani sana, mnajua ndoa nyie, unafikiri mtu kirahisi rahisi tu anaweza kuamua kufanga ndoa kisa ujinga unaoendelea huko.

Hongera bwana na Bi harusi, ndoa yenye heri kwao, ila kuna watu wana bahati ya ndoa mweeh!
 
Anaolewa au wanacheza video ya wimbo?
Anaolewaje nyumbani kwa diamond?
Mwanamke wa kiislam najua ndoa ni kwao, [emoji3][emoji3]
Wazazi ndugu wapo wapi[emoji108][emoji108][emoji108]
WAPAMBANE TUU NA HALI ZAO HAMNA KIKI HAPA.
BTW hata akiolewa kuna mke wa 2 wa 3 hadi wa 4 labda ajivunie kuwa bi mkubwa
Teh kwani vipi Bi. Mdogo? Nakusalimia tu....
 
Anaolewa au wanacheza video ya wimbo?
Anaolewaje nyumbani kwa diamond?
Mwanamke wa kiislam najua ndoa ni kwao, [emoji3][emoji3]
Wazazi ndugu wapo wapi[emoji108][emoji108][emoji108]
WAPAMBANE TUU NA HALI ZAO HAMNA KIKI HAPA.
BTW hata akiolewa kuna mke wa 2 wa 3 hadi wa 4 labda ajivunie kuwa bi mkubwa
Teh Teh hili fungu lote la nyanya kisa umesikia kuna ndoa ya Diamond na Zari?
 
Hongera sana kwa kuoa, huyu kijana ana bahati sana, ameoa mwanamke mwenye uzoefu kwenye ndoa, na mwenye watoto wa kutosha. uzoefu unahitajika kila mahali siyo kazini tu.
Kweli aysee!!!! Kuliko kuoa halafu unaanza kutafuta watoto bora huyo mwenye watoto kabisa. Kakurahisishia, sana. Kwahiyo jamaa sasa atakuwa na watoto kibao
 
Mna mambo yakizamani sana, mnajua ndoa nyie, unafikiri mtu kirahisi rahisi tu anaweza kuamua kufanga ndoa kisa ujinga unaoendelea huko.

Hongera bwana na Bi harusi, ndoa yenye heri kwao, ila kuna watu wana bahati ya ndoa mweeh!
Ngoma imeshanya watu wazidishe upendo
 
Back
Top Bottom