mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Jamani mimi leo naandika ni siku ya 23 tangia nipone au kupata nafuu na ugonjwa wa korona, pia nikamwambukiza mke wangu na mamaangu mzazi alikuwa amekuja kututembelea pia ikampiga na binti wa kazi pia aikumbakiza na shemeji alikuwa amkuja salimia naye akubaki salama, yaani nyumba nzima tulichapwa na Korona kasoro watoto wangu wadogo mmoja darasa la nne na mwingine lasaba.
Nilipo anza kuumwa nilikwenda hospitalini na kupimwa UTI, Maleria na Tayfodi majibu yote yakaja negativu na kijana mmoja ambaye ni docta katika ile hospitali akaniambia utakuwa unauchovu tu kapumzike. (sijui alikuwa na maana ya mapumziko yapi)
Jamani mziki wa korona ni noma, maumivu yake ni balaa ndiyo maana wazungu hawaombi maji. Naomba niwape uzoefu hili tusaidiane kupona na kuacha kujinyonga.
Mimi nina rafiki zangu wawili tofauti ambao wapigwa na Korona ambao walinipa uzoefu. Nilianza kuumwa sana kama siku 4 za kwanza lakini nilikuwa nikitupia diclopa, sasa ilikuwa hivi, diclopa mtu mzima ni 1 x 2 lakini kama nimemeza asubui saa 1 ikifika saa 7 nguvu ya diclopa inakwisha. Hivyo kwa matumizi ya kitabibu ya 1x2 mimi nikawa najipa 1 x 3.
Homa ni kali, kichwa kinauma sana na kugonga, misuli inakaza hasa kiunoni, yaani hiyo misuri ndiyo inakuvizia kukukarisha chini na mwili unakuwa kama kuna polisi au wakola wamekubana mwili mzima, nika wanataka kuku Geoge Floid hivi, hapo tayari nilikuwa siwezi kumgusa shemeji yenu au kuamsha dude kokote. Dalili nyingine hii ilikuwa inatokea zaidi jioni pua zinauma ukivuta punzi nikama zizina washa hivi.
Sasa nakumbuka siku ya 6 usiku nikaanza kuota ndoto nawaona Ansesta yaani kama wananipungia hivi mikona wengine kama wananiita wakiniuliza unakuja? ndotoni nilikataa nikachomoa maana nikawaambia mbona mke wangu anamimba.
Nilivyostukatu akili ndiyo ikanijia kuwa hii ni UVIKO na kugundua kuwa nipo kwenye noma. Ilikuwa saa 9:25 usiku nilishindwa kulala. nikakumbuka rafiki angu ambaye aliumwa Korona na kupona aliwai kunipa dalili nyingine ya kupoteza kunusa.
Nikamwamsha mke wangu nikamwambia mimi naumwa akanijibu ndiyo najua unaumwa nikamjibu naumwa korona, akastuka kidogo nikamwambia nipe pafyumu yako akaileta nilipo pulizia mkononi na kunusa sikusikia kitu chochote wala harufu yoyote ndiyo nikajua yenyewe mwanangu.
Niliamua kupiga simu usiku ule ule kwa rafiki yangu nashukuru alipokea na kumweleza hari harisi hili anipe uzoefu akanitajia dawa zote alizotumia mpaka akapona.
Dawa ya kwanza ni Aziwok au Azuma au Azikyua.
Dawa ya pili ni Asprin Junia
Dawa ya tatu Zinki
Dawa ya nne ni kujifukiza.
Wandugu nilianza dozi asubui maduka yalipo funguliwa na majani yakujifukisa yalikuwa tayari. Kesho yake mama akaanza kulalamika kuwa anaumwa siku ya 3 akaanza kuzidiwa tukaungana katika dozi, wakati mama anaingia katika dozi mkewangu akaanza kuvuta kamasi na vikoozi vya kupip naye akaanza kujisikia ovyo akaanza dozi. Baadaye shemeji na msichana nao wakaja na dalili hizo hozo.
Kuhusu nyungu nilicho jifunza ni kuwa mimi nilikuwa tayari hasa wakati wa usiku hata mchana ukitulia nasikia sauti au mkolomo wa mapafu tumboni hasa pafu la kushoto, hapa nashindwa kuelezea vizuri ila pafu ni kama linatetemeka au linavuma hivi. Nakumbuka baada tu kujifukiza tu niliona hewa nyepesii.
Nyungu kwa uzoefu wangu nilioupata haya ni majani ya miti au mimea ambayo inanukia au inatoa harufu nzuri au afrufu ya matunda yake. Majani haya ni pamoja na majani ya miembe, mpera, mzambarau, mstaferi, mchaichai, mlimao na mingine ila mimi nikawa nakatia katia na tangawizi na vitunguu swaumu pia.
Kuhusu chanjo mimi siziamini kwa maana moja tu kuwa waletaji wote wa chanjo wamesema chanjo akiingizwa mtu mwilini inaenda kumsaidia kinga za asili za mwili, sasa mimi Korona imenipiga tayari na kinga za mwili kusaidiana na dawa zimeishinda Korona sasa kunahaja gani mimi kuchanjwa.
Kwa upande wangu mimi kama mtoto wa mchugaji nimesikitishwa sana na kustshwa na wazazi wangu wa kiroho kama Askofu Kakobe, Askofu Gamanywa na wengine kwa kukataa nguvu za Mungu ambazo walitufundisha tangia wadogo kuwa ikishindikana kwa mwanadamu kwa Mungu inawezekana. Lakini leo wamebadilika wanaamini chanjo ya mwanadamu kwanza sielewi.
Vile vile nimesikitishwa na hawa viongozi wa dini kwa ujumla kwani wakati wa awamu ya 5 waliungana kufunga na kuomba lakini nimeshangaa awamu hii ya 6 wameacha kabisa kumtaja Mungu mbele badalayake chanjo ndiyo wameweka mbele kama tai. Kibaya zaidi mashehe na wachungaji wengine wamekaa kimya ambapo Yesu hawa aliwaita mafalisayo wanafiki.
Jamani Korona ipo ila unapona.
Mtoto wa mchungaji nimejaribu kushea uzoefu tu.
Nilipo anza kuumwa nilikwenda hospitalini na kupimwa UTI, Maleria na Tayfodi majibu yote yakaja negativu na kijana mmoja ambaye ni docta katika ile hospitali akaniambia utakuwa unauchovu tu kapumzike. (sijui alikuwa na maana ya mapumziko yapi)
Jamani mziki wa korona ni noma, maumivu yake ni balaa ndiyo maana wazungu hawaombi maji. Naomba niwape uzoefu hili tusaidiane kupona na kuacha kujinyonga.
Mimi nina rafiki zangu wawili tofauti ambao wapigwa na Korona ambao walinipa uzoefu. Nilianza kuumwa sana kama siku 4 za kwanza lakini nilikuwa nikitupia diclopa, sasa ilikuwa hivi, diclopa mtu mzima ni 1 x 2 lakini kama nimemeza asubui saa 1 ikifika saa 7 nguvu ya diclopa inakwisha. Hivyo kwa matumizi ya kitabibu ya 1x2 mimi nikawa najipa 1 x 3.
Homa ni kali, kichwa kinauma sana na kugonga, misuli inakaza hasa kiunoni, yaani hiyo misuri ndiyo inakuvizia kukukarisha chini na mwili unakuwa kama kuna polisi au wakola wamekubana mwili mzima, nika wanataka kuku Geoge Floid hivi, hapo tayari nilikuwa siwezi kumgusa shemeji yenu au kuamsha dude kokote. Dalili nyingine hii ilikuwa inatokea zaidi jioni pua zinauma ukivuta punzi nikama zizina washa hivi.
Sasa nakumbuka siku ya 6 usiku nikaanza kuota ndoto nawaona Ansesta yaani kama wananipungia hivi mikona wengine kama wananiita wakiniuliza unakuja? ndotoni nilikataa nikachomoa maana nikawaambia mbona mke wangu anamimba.
Nilivyostukatu akili ndiyo ikanijia kuwa hii ni UVIKO na kugundua kuwa nipo kwenye noma. Ilikuwa saa 9:25 usiku nilishindwa kulala. nikakumbuka rafiki angu ambaye aliumwa Korona na kupona aliwai kunipa dalili nyingine ya kupoteza kunusa.
Nikamwamsha mke wangu nikamwambia mimi naumwa akanijibu ndiyo najua unaumwa nikamjibu naumwa korona, akastuka kidogo nikamwambia nipe pafyumu yako akaileta nilipo pulizia mkononi na kunusa sikusikia kitu chochote wala harufu yoyote ndiyo nikajua yenyewe mwanangu.
Niliamua kupiga simu usiku ule ule kwa rafiki yangu nashukuru alipokea na kumweleza hari harisi hili anipe uzoefu akanitajia dawa zote alizotumia mpaka akapona.
Dawa ya kwanza ni Aziwok au Azuma au Azikyua.
Dawa ya pili ni Asprin Junia
Dawa ya tatu Zinki
Dawa ya nne ni kujifukiza.
Wandugu nilianza dozi asubui maduka yalipo funguliwa na majani yakujifukisa yalikuwa tayari. Kesho yake mama akaanza kulalamika kuwa anaumwa siku ya 3 akaanza kuzidiwa tukaungana katika dozi, wakati mama anaingia katika dozi mkewangu akaanza kuvuta kamasi na vikoozi vya kupip naye akaanza kujisikia ovyo akaanza dozi. Baadaye shemeji na msichana nao wakaja na dalili hizo hozo.
Kuhusu nyungu nilicho jifunza ni kuwa mimi nilikuwa tayari hasa wakati wa usiku hata mchana ukitulia nasikia sauti au mkolomo wa mapafu tumboni hasa pafu la kushoto, hapa nashindwa kuelezea vizuri ila pafu ni kama linatetemeka au linavuma hivi. Nakumbuka baada tu kujifukiza tu niliona hewa nyepesii.
Nyungu kwa uzoefu wangu nilioupata haya ni majani ya miti au mimea ambayo inanukia au inatoa harufu nzuri au afrufu ya matunda yake. Majani haya ni pamoja na majani ya miembe, mpera, mzambarau, mstaferi, mchaichai, mlimao na mingine ila mimi nikawa nakatia katia na tangawizi na vitunguu swaumu pia.
Kuhusu chanjo mimi siziamini kwa maana moja tu kuwa waletaji wote wa chanjo wamesema chanjo akiingizwa mtu mwilini inaenda kumsaidia kinga za asili za mwili, sasa mimi Korona imenipiga tayari na kinga za mwili kusaidiana na dawa zimeishinda Korona sasa kunahaja gani mimi kuchanjwa.
Kwa upande wangu mimi kama mtoto wa mchugaji nimesikitishwa sana na kustshwa na wazazi wangu wa kiroho kama Askofu Kakobe, Askofu Gamanywa na wengine kwa kukataa nguvu za Mungu ambazo walitufundisha tangia wadogo kuwa ikishindikana kwa mwanadamu kwa Mungu inawezekana. Lakini leo wamebadilika wanaamini chanjo ya mwanadamu kwanza sielewi.
Vile vile nimesikitishwa na hawa viongozi wa dini kwa ujumla kwani wakati wa awamu ya 5 waliungana kufunga na kuomba lakini nimeshangaa awamu hii ya 6 wameacha kabisa kumtaja Mungu mbele badalayake chanjo ndiyo wameweka mbele kama tai. Kibaya zaidi mashehe na wachungaji wengine wamekaa kimya ambapo Yesu hawa aliwaita mafalisayo wanafiki.
Jamani Korona ipo ila unapona.
Mtoto wa mchungaji nimejaribu kushea uzoefu tu.