Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Utanialika kwenye hiyo sherehe ya ndoa yakoMe nataka nijioe mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanialika kwenye hiyo sherehe ya ndoa yakoMe nataka nijioe mwenyewe
Uje Malaika wanguSawa madame nakuja Pm
....😳😳😳Na mimi najiungamanisha na penzi lako. Tafadhali niteue kuwa spika wa bunge la moyo wako. Nitakupenda kuliko Mdude anavyopenda maandamano.
Utanialika kwenye hiyo sherehe ya ndoa yako
Aisee kweli yupo huyo kichaa japo simzingatiagiKuna mwamba hapa saivi kila ukicoment kazi yake ku dislike simwelewi
Cha ajabu akipita thread flan anadislike zote😅😅
Hee[emoji15]Wengi tu Glenn mie nimemvumilia nimemchoka ni muongo , halafu nimezichoka ID mpya zikinidiss bila sababu
Mamilioni ya watanzania wame neemeka na uongozi wa mama Samia...[emoji1][emoji1]Watanzania watetemeka Lucas mwashambwa
🤣🤣😂😂🤣🤣 mwana wa dislikeKuna mwamba hapa saivi kila ukicoment kazi yake ku dislike simwelewi
Cha ajabu akipita thread flan anadislike zote😅😅
Kuna siku nikajiuliza au nmeandika ujumbe tofauti na post au nimemtukana mtu? Kucheki kila comment amedislike🤣🤣😂😂🤣🤣 mwana wa dislike
Ukute ndio wewe😂🤣🤣😂😂🤣🤣 mwana wa dislike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie mwenyewe nimechoka kujivumilia.
Najitamani hata nijioe mwenyewe....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BICHWA KOMWE a.k.a BICHWA TUFE, BICHWA BAPA