Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Bff Wewe si ndo uliniambia samehe saba mara 70 πππKuna mmoja hv nmemsahau Jina ila yule ipo siku uvumilivu utanishinda π¬π¬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bff Wewe si ndo uliniambia samehe saba mara 70 πππKuna mmoja hv nmemsahau Jina ila yule ipo siku uvumilivu utanishinda π¬π¬
ππππ naomba niwe refaMaxence Melo : natamani tukutane uso kwa uso tuchapane, nina wasiwasi atakimbia kama mwakinyo.
Keyboard warrior
Wizo unajivumilia mwenyewe? πππBICHWA KOMWE a.k.a BICHWA TUFE, BICHWA BAPA
Wizo hanaga shida na mtu huyo!!@Lamomy wizo wako hana tatizo na mtu[emoji23]
Hahahaha πππ nimecheka kifala sanaAna ile nyingine ....watanzania wabubujikwa na machozi.
ila huyu faza ameamua kuzima Data mazima.π
π π π umenikamataBff Wewe si ndo uliniambia samehe saba mara 70 πππ
[emoji23][emoji23][emoji23]Wizo hanaga shida na mtu huyo!!
Anavumilia komwe lake tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Una mafile mengi [emoji23]Kumbe wote mnanipenda au mnanivumilia moyoni? [emoji12]
ππππ napigwa vita vya chini chiniUna mafile mengi [emoji23]
Yes,bila kuvumiliana hivyo kila mtu ingekuwa ni lazima kumiliki forms yake[emoji23]Nivumilie tu dada yangu
Nimekushika pabaya ππππ π π umenikamata
[emoji23]Haswaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23]
Kimoyo moyo,wacha tuvimbe hadi tupasuke[emoji16]Kumbe wote mnanipenda au mnanivumilia moyoni? [emoji12]
Poleni wapendwa tuvumuliane tu maisha yenyewe ndo haya haya πππKimoyo moyo,wacha tuvimbe hadi tupasuke[emoji16]
Yaani,maisha haya humu tunavumiliana ki maandishi[emoji23],na tunaumia kimoyomoyo[emoji1787][emoji1787]Poleni wapendwa tuvumuliane tu maisha yenyewe ndo haya haya [emoji23][emoji23][emoji23]
Yes dada yanguYes,bila kuvumiliana hivyo kila mtu ingekuwa ni lazima kumiliki forms yake[emoji23]