Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Poleni wapendwa tuvumuliane tu maisha yenyewe ndo haya haya [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani,maisha haya humu tunavumiliana ki maandishi[emoji23],na tunaumia kimoyomoyo[emoji1787][emoji1787]

Binadamu bhana, nakumbuka kuna mmoja alishawahi nitemea nyongo kuhusu matani yangu na jamaa mmoja hivi kwenye uzi wa vituko[emoji23],,,,nikajisemea kumbe anaumia huyu lkn ananivumilia tu,nikaishia kucheka.
 
Back
Top Bottom