Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Vipi kuhusu wale mabikra 72 mlioaidiwa kule peponi??
Halafu unakuta mtu ana uhakika akifa anaenda piga mbupu bikra 72 lakini bado anakuwa anajificha kwa kuvaa mavazi ya kike huko gaza.🤣🤣🤣🤣 karibuni tule nimeagiza 🐖 na ndizi 4 za kuponda.
 
Ingekuwa dini, kila mmoja angekuwa anamuabudu kwa lugha yake. Lkn kama wote wanalazimishwa kumuabudu Mungu kwa lugha moja, basi nachelea kusema hiyo siyo dini. Ni mpango wa waarabu kueneza mila, desturi na tamaduni zao nje ya mipaka yao.
Jamaa una akili ndogo kama kisoda. Sasa hapo umeshindwa hata kufikiria kama kuna kitu kwenye hiyo dini mpaka wanatumia lugha unique.??? Unaswali popote unaingia msikiti wowote.?? Huoni kama ni dini ambayo ipo katika mpangilio mzuri na badala yake unageuza kibao kuwa udhaifu.?? Ama kweli ndugu zetu mna macho lakin hamuoni
 

Maswali ya kujiuliza kabla ya kuandika hapa:
1. Wangapi wanazungumza hiyo lugha katika nchi yako?
2. Does the linguistic environment support the language growth?
3. Kila mmoja wa wafuasi wa imani hiyo wana uelewa fasaha wa lugha hiyo?
4. Kwa nini imani hiyo ifunganishwe na lugha fulani? Ina maana ibada yenu imekuwa locked 🔒 kwenye lugha hiyo pekee?
5. Hapo sijagusia mavazi.
6. Vyakula
7. Usanifu wa majengo yenu
 
Sawa hawa wa kujitoa muhanga wame copy wapi tabia hiyo
 
Sawa hawa wa kujitoa muhanga wame copy wapi tabia hiyo
Ukimuona mtu anajitoa muhanga ujue huyo kafanyiwa ukatili wa kupitiliza na hakuna msaada mwengine anapatiwa. Hii hata wakiristo wafanya sana. Enzi za hitler
 
TuTakua kama malaika yani unamaanisha malaika hali wala hanywi na wala hana matamanio yotote sasa inakuaje biblia imewataja malaika ambao walioweza kuja kuzaa na wanadamu na kupelekea kuzaliwa kwa wanefilli na wakat ulishasema kua malaika hawana matamanio ya kinafsi
 
Malaika ni mtakatifu, msafi, akiasi tu, direct anakuwa Pepo aliyelaaniwa, Si tena Malaika.
 
Mbona hukusema alikuwa shababi wa kupiga mbupu mkuu unesahauu
 
Mtume anachekesha sanaaa ila mm ni roli mode wake napenda sana kupiga mbupu
 
Hekaya za mudi zinachekesha ila mudi ni mjanja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…