Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Haaaa jamani nilimuone huruma mmemshambulia maskini..
Mmmm
Siyo bure wengi wanao shambulia hapa walinitaka PM nikakataa na imani yao kubwa ilikuwa mume wangu angeshindwa game wape chance sasa wameona kaweza ndo hasira zinaishia kwangu but wamebugi vibaya mim mwenyewe comandoo
 
Had kichefuchefu,aibu naona mimi,hizo ndo ndoa za fashion,,ya ndani yanakua ya nje na ya nje yanakua ya ndani
Utaijuaje ndoa wakati wewe mwenyewe hujaolewa? Hicho kichefuchefu ni mimba changa isiyo namwenyewe
 
Ila mimi naona sio jambo zuri kutoa siri za ndani ya ndoa. Fikiria kama mume wako akipita humu halafu akakuta umeanika ya ndani atajisikiaje, tena na avatar yako inaonekana kabisa daah
Yaani wakati naandika haya na yeye alikuwepo na aliona..Ila umbea wenu sasa balaa mpaka mipovu inawatoka
 
Nimefolu ini lavu na wewe Vivac

 
Monicca..
Wewe Ni Jembe..
Kutunza bikra/nyama hadi majuzii/siku nne kabla ya kuolewa..

Hili swali Ujalijibu..
Je jamaa alikukuta Sealed..!!?!
Nikinukuu aya yako ya #3
 
mke wa mtu ya ndan unayaweka jf wamekutolea mahar hawa
 
Siyo bure wengi wanao shambulia hapa walinitaka PM nikakataa na imani yao kubwa ilikuwa mume wangu angeshindwa game wape chance sasa wameona kaweza ndo hasira zinaishia kwangu but wamebugi vibaya mim mwenyewe comandoo

Hahaha...kumbe🙄
 
moniccca cool down my dear... Sio vizuri kuendelea na haya majibizano humu. We potezea tu
 
moniccca cool down my dear... Sio vizuri kuendelea na haya majibizano humu. We potezea tu
Ninamjua moniccca vizuri nimesoma nae St Francis na baadae ifm..ni mtu mwenye nidhan sana watakuwa wamemkoroga ndiyo maana amewajibu hivyo..wengi waliomba mrejesho na yeye ndivyo alivyofanya sasa mashambulizi yanatoka wapi? Ange kaa kimya wasingenyamaza wangemdai mrejesho! Acheni hizo bana kuweni wastaarabu msitafute undani wa mtu.
Isitoshe hapa tunaojuana ni wachache sana.
 
Bity za siku mamy ? Nimefurahi kukusikia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…