Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Ungejua yupo kifuani kwangu tunachungulia jf pamoja usinge jishaua
Huyo bwanawako atakuwa anashida, au wewe huna mvuto!

Honeymoon mnatakiwa kukaa bila chupi, full kubiduana! Ni kulala, kuoga, kugegeda na kula then mnaanza upya! Mpaka mmoja aombe pooo ndo honeymoon inaisha
 
Havacha kaka
 
Uje hapa baada ya miaka 2 kutoa mrejesho!
 
This is funny .. Ahaaaaahaaahaaahaa... Haki Jf ni Raha ....Never boring.. Thanks
 
Kaah mbona unayaanika sana mambo ya ndani mwako?
 
ni muda mfupi sana.

Istoshe kuna mwimbaji ameimba kuwa 'kipimo cha upendo ni wakati wa matatizo'
 
Ahhhhhhhh!!! Acheni kumsakama dada yangu please, just give her a break!!..... Mlikuwa mnalalamika kutwa nzima kuwa hawapi mrejesho, sasa ameleta mrejesho mnamchenjia/mnamsakama!!..... Sasa mlikuwa mnataka mrejesho gani???.... Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni!
 
Sas wewe kila kitu utakileta hapa huu mumeo naye anakuruhusu tu kah! Umeshapata mume Jf basi endelea na maisha kah
 

Una akili sana wewe. Sina bahati ningekuoa ili unitunzie siri
 
Alishaleta mrejesho kapata mchumba tukampongeza siku ya harusi tukampongeza hayo mengine waendelee sasa kwa hiyo akigegedwa akapewa mimba atakuwa n kitumbua tena this is stupid, wewe mume uliyemuoa huyo Dada umemruhusu alete siri zenu humu?
 
Havacha kaka
Na usisahau kuitupa simu yako ya zamani au futa mijimambo na siri zetu zooote asione your hubby bila Kusahau picha za MPINGO nilizokutumia na mimi nafuta picha za KYUMA chako ulizonitumia sababu mme wako ni MKURYA.
 
Alishaleta mrejesho kapata mchumba tukampongeza siku ya harusi tukampongeza hayo mengine waendelee sasa kwa hiyo akigegedwa akapewa mimba atakuwa n kitumbua tena this is stupid, wewe mume uliyemuoa huyo Dada umemruhusu alete siri zenu humu?
NOOO!!! , mimi nitamtetea daima kwa sababu nakumbuka vyema kabisa kuwa baada ya kutangaza kuwa anafunga ndoa siku ile kesho yake member wengi wa JF walimsumbua sana kuwa alete mrejesho kuhusu jamaa kama ni mzima au laa, ana kibamia au laa, kapiga bao ngapi, usiku wa mgegedo ulikuwaje e.t.c,halafu dada amejitahidi kuleta mrejesho tena kwa kifupi sana halafu mnamsakama!!!.... Huo siyo unafiki????
 
Basi Dada poyoyo hajui ushauri gani achukue na upi aache akitwambia vyote hivyo vinatusaidia nini? Namuonea sana huruma huyo mwanaume kama yuko humu ameoa jipu
 
Basi Dada poyoyo hajui ushauri gani achukue na upi aache akitwambia vyote hivyo vinatusaidia nini? Namuonea sana huruma huyo mwanaume kama yuko humu ameoa jipu
Mimi kinachoniuma ni kwamba wale wale waliokuwa wanamuomba mrejesho ndo hao hao wanajifanya malaika na kupaza sauti kuwa dada amekosea!!!....huo ni unafiki!!
 
Hongera mama ila nadhani ni muda wa kuacha kuanika maisha yako ya ndoa humu........umepata mume kutoka humu ni vyema ila anza kuweka mipaka sasa....ukipata mimba/ukijifungua utakuja kusema tena humu???? Ol the best mamito
 
Sasa mambo yenu ya kitandani ndyo unayafanyia matangazo. Yanni kama ungekuwa umeolewa na mimi tyari ni kasoro kwangu maana mwanamke unakiherere cha hali ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…