Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Ninamjua moniccca vizuri nimesoma nae St Francis na baadae ifm..ni mtu mwenye nidhan sana watakuwa wamemkoroga ndiyo maana amewajibu hivyo..wengi waliomba mrejesho na yeye ndivyo alivyofanya sasa mashambulizi yanatoka wapi? Ange kaa kimya wasingenyamaza wangemdai mrejesho! Acheni hizo bana kuweni wastaarabu msitafute undani wa mtu.
Isitoshe hapa tunaojuana ni wachache sana.
Hivi huko kwenu hakuna wastaarabu mnakuja kuomba ustaarabu humu kwetu jf...!

Mwambie huyo mwolewa akarudie desa za mkoreni..
 
kuna namna hapa sio bure

Matambo On Fleek
 
Kawaida shoga si unajua tena humu wengi wanywa gongo na viroba
Wewe ni taila kweli. Kama ulijua humu ni wanywa gongo na viroba nani alikulazimisha upost ujinga wako kwa wanywa gongo na viroba?

Mwanamke umeolewa juz 2 ila domo chafuuuuuu
 
Halaf huyu kama na mjua vile; Je ni mchanee!? Nauliza tena ni mchaneee?
 
Huko kwenye kulala na njaa mi nilishavuka kitambo..namshukuru Mungu kwa kweli labda useme lingine kama unalo plz
Haaa nimekusoma kuwa wwe mwanamke kwanza unamajivuno yakizamani na kishamba kweli. Et mimi kulala na njaa nimeshavuka kitambo.... una bwbwaja hta hujifikirii.. nani dunia hii kavuka matatizo....nani dunia hii anajua kesho itakuaje..uyo mwanaume namuhurumia ameokota limao kwenye mchungwa.
 
Siyo bure wengi wanao shambulia hapa walinitaka PM nikakataa na imani yao kubwa ilikuwa mume wangu angeshindwa game wape chance sasa wameona kaweza ndo hasira zinaishia kwangu but wamebugi vibaya mim mwenyewe comandoo
Sio kila mwanaume anaye kuPM ujisifu kuwa alikuwa anakupenda wengne team mafidi wataka dudu 2 waendezao.
 
Yaani wakati naandika haya na yeye alikuwepo na aliona..Ila umbea wenu sasa balaa mpaka mipovu inawatoka
Si umeisha mfanya zoba mpaka akakuoa. Wajanja si walitoka nduki kitambooo mbna!!!
 
Hbr zenu wanajamii wenzangu.

Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.

Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..

Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.

Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.

Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.

Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..

Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.

Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.

Karibu kama kuna mwenye lolote.
sio wa dar?
 
Haya mambo huwa ni siri ya chumbani,unaridhishwa au huridhishwi ilitakiwa iwe ni siri yako ya moyoni,ilitosha sana kumuomba radhi mumeo kwa hayo uliyomdhania mkiwa wawili chumbani,ndiyo maana hayo mambo yanaitwa "UNYUMBA" hayatakiwi kuvuka kizingiti cha mlango,japo tunatumia hidden IDs,hutakiwi kutuambia kila kitu cha chumbani kwenu. Asante.
wahenga walisema'mficha maradhi kifo humfichua' mwache amwagike ili ashauriwe
 
moniccca asante kwa mrejesho lakini bado ni mapema sana sana
Kuna mengi yanakuja jiandae
-mihemko na furaha za ndoa vitakapoisha
-ndugu watakaokuja kuwatembelea
-tabia zenu zilozofichika zitakapoanza kuonekana kwakuwa sasa mko pamoja kila siku kitanda kile kile
-kipindi cha mpito cha kuishiwa
-kipindi cha mimba
-kipindi cha kulea
-migogoro hasa itakayoletwa na ushiriki mitandaoni
-mmoja wenu kumchoka mwenzake kwa namna fulani
Vikipita hivi vipindi salama fanya tathmini ya ndoa sasa
All in all nawaombea sana na upunguze kwa kiwango kikubwa haya mambo kuyaleta mitandaoni
inaonekana ulishawahi kufanya kazi kwenye kitengo cha ushauri nasaha wewe,
 
Hongera ila kumbuka kwamba kuna kiwango cha juu zaidi.....
 
Ninamjua moniccca vizuri nimesoma nae St Francis na baadae ifm..ni mtu mwenye nidhan sana watakuwa wamemkoroga ndiyo maana amewajibu hivyo..wengi waliomba mrejesho na yeye ndivyo alivyofanya sasa mashambulizi yanatoka wapi? Ange kaa kimya wasingenyamaza wangemdai mrejesho! Acheni hizo bana kuweni wastaarabu msitafute undani wa mtu.
Isitoshe hapa tunaojuana ni wachache sana.
Siyo kweli huyo ni mcharuko mpole hawezi kuwa hivyo
 
Wewe ni taila kweli. Kama ulijua humu ni wanywa gongo na viroba nani alikulazimisha upost ujinga wako kwa wanywa gongo na viroba?

Mwanamke umeolewa juz 2 ila domo chafuuuuuu
Huwa linasafishwa na nin nilisafishe liwe safi kbsa?
 
Back
Top Bottom