Leo ni siku ya watu wafupi duniani

weekend, na kibaridi hiki kabananishwa, ila kuna ID mchana imeniwakia nahisi ni yeye
😹😹😹 Sijui kapata shangazi kamficha, inawezekana kaja kivingine ana ids nyingi yule..!!
Ila ananichekeshaga nimeona kapotea sio kawaida yake awepo bila kukusumbua
 
😹😹😹 Sijui kapata shangazi kamficha, inawezekana kaja kivingine ana ids nyingi yule..!!
Ila ananichekeshaga nimeona kapotea sio kawaida yake awepo bila kukusumbua
Itakuwa ndo wa mchana alianza kuandika mautok....o yake jina nimeshalisahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…