Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Hahaha... Najua wewe mfupi lakini si Andunje... 🤪Kila la kheri kwetu. Tufanyeje sasa wakati ndo tushakuwa wafupi.
Bina Chumchang Changchum njoo unitakie kheri huku. 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha... Najua wewe mfupi lakini si Andunje... 🤪Kila la kheri kwetu. Tufanyeje sasa wakati ndo tushakuwa wafupi.
Bina Chumchang Changchum njoo unitakie kheri huku. 😜
Kabisa Mtani. 😂😂Sana.Tupeni moyo ndugu zetu.Hatutawaangusha wala kububujikwa machozi.
Utetezi dhaifu wa kina andunje.Ufupi akilinganishwa na nani?
Hii standard imewekwa na WHO ? Wengine tuna 140cm lakini huku kwetu tunaitwa toluKwa mwanaume mfupi futi 5.6 kushuka chini, wastani 5.7-5.9, mrefu 6 na kuendelea.
😹😹😹 oyaaa.!!Wamiliki halali wa gubu na visirani
Najua haumo kwenye huo umiliki,😹😹😹 oyaaa.!!
Ni mawazo binafsi kwa mtazamo wangu.Hii standard imewekwa na WHO ? Wengine tuna 140cm lakini huku kwetu tunaitwa tolu
Hapana huko sipo mahi 😹😹😹Najua haumo kwenye huo umiliki,
Halafu wengi shabiki wa Thimba 🤣🤣🤣Wamiliki halali wa gubu na visirani
Hujakosea km cocastic 😹😹😹Halafu wengi shabiki wa Thimba 🤣🤣🤣
Nyie mnaonekana deilee so ni wakati "short circuit" time 🤣🤣Watu warefu siku yetu lini? Leo acha hawa vijeba watambe
Tatawarefusha lig ikianza dadeki... 🤣🤣🤣Hujakosea km cocastic 😹😹😹
Safi siku yenu inakuja usije kukimbia tu😅😅😅Hapana huko sipo mahi 😹😹😹
UmewasingiziaHalafu wengi shabiki wa Thimba 🤣🤣🤣
Hao jamaa wana hati miliki kabisa asa jichanganye wakumurife😂😂Wamiliki halali wa gubu na visirani
Kwa hiyo hutaki kukubali kuwa Wewe ndo walee waparee "wazazi Ni thithi thithi na watoto ni thithi" 🤣🤣🤣🙄Tokea lini mimi ni mpare!?
Unanisingizia😣
😹😹😹 Simba wana makasiriko wanaweza kukung’ata usipokuwa makiniTatawarefusha lig ikianza dadeki... 🤣🤣🤣