ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
🙄Tokea lini mimi ni mpare!?Kumbe makabila tunahama na mmenyamaza? Umewahama wapare leo 😂😂😏😏😏😏
Unanisingizia😣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄Tokea lini mimi ni mpare!?Kumbe makabila tunahama na mmenyamaza? Umewahama wapare leo 😂😂😏😏😏😏
Una comment nyingi sana yule kijana wa kuleta ushahidi angekuletea reply yako.🙄Tokea lini mimi ni mpare!?
Unanisingizia😣
OkayNdio!
Kila la kheri kwetu. Tufanyeje sasa wakati ndo tushakuwa wafupi.
Bina Chumchang Changchum njoo unitakie kheri huku. 😜
Yaani 🤣🤣🤣Wamiliki halali wa gubu na visirani
Sasa epheMkurya wa dar!
Sijui lugha yoyote zaidi ya kiswahili
Niambie mkurya mwenzanguSasa ephe
🤣🤣🤣🤣🙉Watu wafupi muache ukorofi jamani.....
🤣🤣🤣sa itakuwaje?
😂😂😂Niwa wish au? Na zawadi ninazo lakini.🤣🤣🤣🤣🙉
Kwenye ufupi mi simo mpendwa...yaan 5.5 najionaga mrefu nimewazidi wote...wawish wenye ufupi wao🤣😂😂😂Niwa wish au? Na zawadi ninazo lakini.
Hope urassa ana 5.68 nimemuwish ook nitaheshimu umri 😂😂Kwenye ufupi mi simo mpendwa...yaan 5.5 najionaga mrefu nimewazidi wote...wawish wenye ufupi wao🤣
Heee mi ni tall ndo maana na.....Hope urassa ana 5.68 nimemuwish ook nitaheshimu umri 😂😂
Tall ndio ukisimama na to yeye. 👏Heee mi ni tall ndo maana na.....
Kwa mwanaume mfupi futi 5.6 kushuka chini, wastani 5.7-5.9, mrefu 6 na kuendelea.Mtu mrefu anatakiwa kuwa na futi ngapi?