Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume hautakiwi hata kukumbuka siku yako ya kuzaliwa.Pamoja na mambo yote kuhusu Krismas, leo ni siku na tarehe ya kuzaliwa kwangu.
Namshukuru Mungu kwa baraka na uzima kwa kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu, daima nitamshukuru...
Mm sina mambo mengi kiasi hicho ya kunifanya nisikumbuka.Wanaume hautakiwi hata kukumbuka siku yako ya kuzaliwa.
hongera kwa siku yako ya mazaziPamoja na mambo yote kuhusu Krismas, leo ni siku na tarehe ya kuzaliwa kwangu.
Namshukuru Mungu kwa baraka na uzima kwa kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu, daima nitamshukuru...
Amina. Pamoja sana mkuu.Asante sana na Mungu akubariki
Happy birthday mzeePamoja na mambo yote kuhusu Krismas, leo ni siku na tarehe ya kuzaliwa kwangu.
Namshukuru Mungu kwa baraka na uzima kwa kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu, daima nitamshukuru...
Huu ni mtego (kwa sauti ya kabudi) 😅Asante sana,
Nielekeze kilipo mm nakipitia tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Nshafanya yote nikamaliza, hapa sijaja kuomba mchango sheikh. Wewe kama uko na purukushani za maisha ni wewe, kwangu kuna muda wa purukushani kutafuta hela na muda wa kutumia hela.
Heri ya siku yako ya kuzaliwa.Happy birthday to you*2Pamoja na mambo yote kuhusu Krismas, leo ni siku na tarehe ya kuzaliwa kwangu.
Namshukuru Mungu kwa baraka na uzima kwa kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu, daima nitamshukuru...
Asante sanaHeri ya siku yako ya kuzaliwa.Happy birthday to you*2
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app