ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Binafsi mimi huwa sipost chochote hata siku ya mama dunia huwa sina hizo status za ku proud..nikiji proud mwemyewe moyoni inatosha ..hizi sikukuu hazina maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ulikuwepo mkuu?wanaume tumefanya kazi kubwa sana pale kariakoo siku tatu wengine hatujaonja kitanda lakini hamlioni hilo
Taifa lipo kwenye Msiba mzito...Nov 19 ni siku yetu tena, Duniani.
Ila hauoni majigambo mitandaoni wala meseji za heri ya siku ya wanaume Duniani wala kupongezwa kwa mchango wetu katika Taifa.
Ila ikifika March 8, utashangazwa.
Tuna sikukuu yetu mama ya kumwaga damu kwa duduOnho🤦
Kumbe mna sikukuu yenu na nyie!?
Aisee, sorry mambo mengi mno...
Kariakoo nako kumetuvuruga vichwa balaa😔
Onhoo, hongereni sanaTuna sikukuu yetu mama ya kumwaga damu kwa dudu
🤣🤣🤣🤣🤣Anywe Bia isiyozidi elfu mbili😅
Walishakataa hakuna siku yao jamani, zawadi tutawapatia krisimasi🤣Taifa lipo kwenye Msiba mzito...
Zawadi za Siku yenu hii zimeelekezwa kwa Wanaume waliopo Kariakoo wanaofanya kazi ya kuokoa wenzetu waliofukiwa na kifusi...
Ahsante.
Sasa na wewe kwanini usimuwish mwenzio!!!🤣Ikifika siku yao utasikia "yaani baby hata kuni wish hakuna" pumbavuu
Mengine dipresheni🤣🤣Kikubwa uzima upo
Halafu wengi hatuna habari juu ya siku yetuNov 19 ni siku yetu tena, Duniani.
Ila hauoni majigambo mitandaoni wala meseji za heri ya siku ya wanaume Duniani wala kupongezwa kwa mchango wetu katika Taifa.
Ila ikifika March 8, utashangazwa.
Naomba picha ako nkupost bro....Nov 19 ni siku yetu tena, Duniani.
Ila hauoni majigambo mitandaoni wala meseji za heri ya siku ya wanaume Duniani wala kupongezwa kwa mchango wetu katika Taifa.
Ila ikifika March 8, utashangazwa.
mambo ya kupongezana tunawaachia waoNov 19 ni siku yetu tena, Duniani.
Ila hauoni majigambo mitandaoni wala meseji za heri ya siku ya wanaume Duniani wala kupongezwa kwa mchango wetu katika Taifa.
Ila ikifika March 8, utashangazwa.
Watoto wa mbwa kwa ngulelo arusha😅😅😅Weeeh! Tushakuwa mbwa tena🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Sasa nyie watoto wetu mtakuwa nini?
Alafu kweli kuna mpuuzi mmoja eti kanitumia meseji ila zawadi aaaahHata bia moja tu wameshindwa kununua hawa mbwa ila ikifika siku yao uone wanavyotuganda tuwatoe out