Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Na mtoto wa mbwa ni mbwaaaa🤣🤣Watoto wa mbwa kwa ngulelo arusha😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mtoto wa mbwa ni mbwaaaa🤣🤣Watoto wa mbwa kwa ngulelo arusha😅😅😅
Ndio na yanini kujizolea dipresheni tena mwisho wa mwaka wa kufosi 😂Mengine dipresheni🤣🤣
Na sisi ndio ma madogiiii mwenyewe mamiloo 😂Na mtoto wa mbwa ni mbwaaaa🤣🤣
Jamani poleniNov 19 ni siku yetu tena, Duniani.
Ila hauoni majigambo mitandaoni wala meseji za heri ya siku ya wanaume Duniani wala kupongezwa kwa mchango wetu katika Taifa.
Ila ikifika March 8, utashangazwa.
Na Maua hawapendi etiii🤣Walishakataa hakuna siku yao jamani, zawadi tutawapatia krisimasi🤣
Ana unnecessary requirements nyingi. Current dispute ni kwa nini sijawahi kupostSasa na wewe kwanini usimuwish mwenzio!!!🤣
Tunafosi hadi dipresheni🤣🤣Ndio na yanini kujizolea dipresheni tena mwisho wa mwaka wa kufosi 😂
Ndio mfumo wa maisha mkuuTunafosi hadi dipresheni🤣🤣
Eti jamani, na kupostiwa hawapendi pia. Sasa sijui tufanyeje🙆♂️🙆♂️🙆♂️Na Maua hawapendi etiii🤣
Mpost mwenzio mwasibu, kwanini sasa humpost?Ana unnecessary requirements nyingi. Current dispute ni kwa nini sijawahi kupost
Jipende wewe kwanza. Jiposti mwenyeweNov 19 ni siku yetu tena, Duniani.
Ila hauoni majigambo mitandaoni wala meseji za heri ya siku ya wanaume Duniani wala kupongezwa kwa mchango wetu katika Taifa.
Ila ikifika March 8, utashangazwa.
Tunawa'celebrate moyoni kama hivi leo😅Eti jamani, na kupostiwa hawapendi pia. Sasa sijui tufanyeje🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Eeewaaaah! Namna hiyo🤣🤣Tunawa'celebrate moyoni kama hivi leo😅
Asante sana mtarajiwa wangu. Nimefurahi sana.