Atakuwa anajiamini Ana convincing power...Sio Domo zege Kama Behaviourist
Usiache kwenda hukoHatari sana bro,itabidi siku yake nije kukutembelea huko mkuu
Pitia na Arusha mkuu afu simama pale maeneo ya AICC hutatamani kusikia ndoa kabisa😆😆😆Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama manthari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Ngoja tupate experience ya huko ulipo pisi kama zina compete na za MoshiPisi kali Moshi?
U not serious!
Lazima nitimbe huko mkuuUsiache kwenda huko
Utakulaje wali mkavu wakati wewe Ni mgagaa na upwa
Basi tuseme kurogwa kupo...inawezekana karogwa TU abadili gia hewani ...masikini bidada kapata Aibu huko..wazazi wameshika Tama TU saivSiyo swala la ,, domo zege '' bali ni swala la huyo demu kumuona kama ni mtu sahihi kwake, siyo rahisi kihivyo labda kama ana kitu ambacho hao mademu wanatafuta kwa mwanaume, na yeye atokee kuwa huyo mwanaume wanayetafuta, vinginevyo ajitayarishe kupigwa kalenda na kusumbuliwa sana bila ya mafanikio, ...
Moshi kubwa ujueWewe si unakaa Moshi. Miaka yote hiyo hujawahi ona hizo pisi kali mpaka ulipoenda Ushirika
Mbona unauchungu sana mkuu[emoji38][emoji38] na mbona unachoandika hakihusiani na mada kwan jamaa kaenda club au ananunua malaya!! Acha kuchulia maisha serious kias hicho[emoji38][emoji38][emoji38]
Tatizo dada zetu co waelewa kabisa sasa apo kosa la jamaa ni lipi @kughaili kupeleka barua @kusifia pic kari mi anachojua kamaela anatafuta mwenyewe tumwache zikiisha ataandika thread nyingine PIC KALI ZILIVYO NIPONZA nacc tunampa pole kwasaiv acha tumsifie sie watu wa MASHARIKI YA MBALI akili zetu zimelalia MASHARIKI kwaiyo hutakiwi kusononeka kwa mambo kama haya we sifia tu🏃🏃🏃Anyway sikua naamaisha kuwa Aende huko nilimaanisha Akimaliza Ushirika akapata mchumba...akaenda kondoa Napo atagairi...na akiona mzungu atasema Sijawai chakata wenye macho ya kijani naoa kwanini?
Sasa lengo lake ni lipi? Kuchakata papuchi za pisi kali zote?....
Analolitafuta atalipata, you will really what you sow.
Hao watoto wa ushirika nimekulaga tokea 2014 mpaka leo. Nadhani wanafika 200+ niliowahi wala hapo chuoniulizia wenyeji wakupe habari ya hao watoto wa ushirika!!
Hujafikaga Moshi wewe, kaushaKatika mikoa ambayo aina pisi kali Tanzania ni Moshi
MOSHI HAKUNA PISI KALI NA WALA HAKUJAWAI KUWA NA PISI KALI
Nishasikia wafia Dini...Sasa nimeona Mfia papuchi[emoji23][emoji23][emoji23]...Tatizo dada zetu co waelewa kabisa sasa apo kosa la jamaa ni lipi @kughaili kupeleka barua @kusifia pic kari mi anachojua kamaela anatafuta mwenyewe tumwache zikiisha ataandika thread nyingine PIC KALI ZILIVYO NIPONZA nacc tunampa pole kwasaiv acha tumsifie sie watu wa MASHARIKI YA MBALI akili zetu zimelalia MASHARIKI kwaiyo hutakiwi kusononeka kwa mambo kama haya we sifia tu[emoji125][emoji125][emoji125]
Hongera mkuuu... nadhani ukifikisha 1000 Kuna kombe lako na Kitita Cha kutosha..usichoke kazanaHao watoto wa ushirika nimekulaga tokea 2014 mpaka leo. Nadhani wanafika 200+ niliowahi wala hapo chuoni
😂😂😂Wasipoisha ndio safi coz kale karoho kanachosemaga UPENDO KWA WOTE kitaendelea kuniamasisha.Nishasikia wafia Dini...Sasa nimeona Mfia papuchi[emoji23][emoji23][emoji23]...
Wazuri hawatakuja kuisha..ng'oooo
Unasoma acha kudanganyaNafundisha meku