Leo nimeaibika sana, roho inauma

Tatizo lako ni woga na wala sio kwamba haiwezi kusimama. Jitahidi kutofikira kushindwa , kilazimishe kuweza na utaweza tu.
 
Lipia tangazo mjingana wewe
 
Uliwahi kupiga "selfie" Sana!
 
We muha rudi uhani kwanza

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Aliyeuliza ulivaa mpira nami namshangaa, mzee kichwa wazi inabidi aulize swali la nguvu ndipo umvalishe mpira. Bila hivyo mpira haupiti.
 
Hapanaa[emoji3582] napinga hoja
Walo NI chakula cha mitume na manabii.mimi Lila siku nakula wali na nipo vizuri.hayo ni matatizo yako tu usisingizie wali.
Shida haujajipanga
Baadhi ya mitume walikuwa hawana uwezo wa kuzalisha mtoto wa kiume kwasababu ya kula wali sana
 
Ndio maana wanaume wanaelemewa na wanawake kumbe kwingine wanakosa?
 
Uume hausimami mpira ntavaaje?
Kama wewe(na yeyote Yuko serious) hii issue ishawahi mtokea mtu wa karibu sana namimi,tumeibiwa sana na matapeli wa insta na fb bila mafanikio!mwisho wa siku tulifanikiwa kupata dawa kutoka kwa Bibi wa kimasai ilikuwa kwenye Kijiji kinaitwa Kibong'oto kipo Sanya juu/Siha Kilimanjaro ndo ilimkomboa ile aibu.From there nilichukua namba ya yule bibi incase,hapa dsm alituma Mara mbili kwa wadau wangu Ila sahv sijamcheki kujua status yake.
 
jaman hapa kwenye kukimbia kilometer hizi tujue kwanza mwili wake na uzito wake mana unaweza kuta ni ile mili ya kina wiz khalifa au snop[emoji23]ukitwanga kilometer nyingi sana unamteketeza badala ya kusaidia[emoji23]
 
I like that .. men supporting men... Jerlamarel hawa ndio wanaume sasa. Sio sisi wanawake mara mwanamke mwenzetu anapokua na tatizo akaomba ushauri ndokwanzaaa tunamchamba mpaka anakoma! Safi sana
Hata sisi kuna muda tunazingua sana tuu, hata nyie kuna muda mnapeana positive support sana tuu.... Hivyo it depends.

All in all dogo atakaa sawa tuu.
 
Njoo Kyerwa Upate Chai Katoke Na Bonus Ya Maji Kwenye Godoro Lenye Nylon, Utasahau Yote Hayo
 

Mazoezi ninafanya karibia kila siku hadi jasho litoke...kula vizuri pia nina kula tu vzr
 
Akili inaniambiaa hii tangazo
 
Swali dogo hapa...

Je, ukiwa peke yako uume huwa unasimama?
Je, ukiwa unawaza mambo ya ngono au kutazama picha ya mwanamke mrembo, uume huwa unasimama?

Yaan karibia kila asubuh lazima usimame,hata hapa nimeamka sasa hivi mashine imesimama...kuna sometimes asubuh inaweza simama hadi inauma
 
Hao labda ni wanawake wa huko mambele siyo wa kibongo
 

Huyu dokta ni dokta wa matatizo yapi? Je, amejiunga Instagram?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…