Leo nimeaibika sana, roho inauma

Leo nimeaibika sana, roho inauma

Ungefanya mazoezi mchangani kabisa kabla ya kurudia uwanja wa taifa
Wengine huwa tunaomba mechi za mchangani kubost confidence
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....

Anza kuamini huna tatizo litaondoka

Godwin peter Fuata huu ushauri huna tatizo lolote zaidi ya akili yako tu na stress za kumaliza haraka aondoke na ukifikiria kuhusu hiyo hali, relax dogo.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
Huyo daktari aliekupa tradafil cku nyingine ukimwona mpige mawe
 
kumbe unaiamini Quran?
EEEh naiamini kama navoamini hekaya za abunuasi...ninaamini kuna watu wanaziamini kwahyo ni stories fulani interesting ukiwa umeboeka unasoma......turudi kwenye mada, kwahyo pale quran ilitupiga kitu kizito?
 
EEEh naiamini kama navoamini hekaya za abunuasi...ninaamini kuna watu wanaziamini kwahyo ni stories fulani interesting ukiwa umeboeka unasoma......turudi kwenye mada, kwahyo pale quran ilitupiga kitu kizito?
wanaosema kweli NI wayahudi.
Wanaomuita yesu mtoto wa nje ya ndoa.
Wewe uliona wapi mwanamke akapata tu mimba bila kufanya mapenzi?
 
wanaosema kweli NI wayahudi.
Wanaomuita yesu mtoto wa nje ya ndoa.
Wewe uliona wapi mwanamke akapata tu mimba bila kufanya mapenzi?
Hahaha daah kweli kumbe hata quran ni fix na chai za waarabu enzi hizo kina muhammad wanasikia story za wayahudi wanaamini kama zilivo
ila wewe mjingamimi una akili ya kujua uongo uko wapi maana wewe umesoma unajua biology na unajua kuzaa bila sex haiwezekani,,,,Sasa kama wewe una akili timamu na hujalewa cocaine ya dini yako ukishasoma hii verse usigeuke tena kusema kuzaa bila mapenzi inawezekana

Quran 19:17-22
17.Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu. 17


19_18.gif

18. (Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu. 18


19_19.gif

19. (Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika. 19


19_20.gif

20. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba? 20


19_21.gif

21. (Malaika) akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa. 21


19_22.gif

22. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali


Au unataka kusema na hzo ni story za wayahudi??Basi quran nzima itakuwa story za wayahudi
 
Mtu anakimbia km 4 daily kisa mbususu😂🤣😂🤣😂...

Dah nikifikiria hii schedule halafu kisa ni mbususu, nachoka kabisa😂🤣😂🤣😂
Mazoezi ni zaidi ya mbunye.

Mi nimeanza kukimbia tokea Niko form 6 (2009) mpaka leo ni kukimbia.

Na cha zaidi huwa siku hizi nabadilisha staili ya tizi.
Mfano:- kila siku natoka home mpaka kazini natembea Km 5.

Hili tu ni zoezi tosha.

Mazoezi ni kwa ajili ya mwili wako.

Upende mwili wako.

#YNWA
 
Hahaha daah kweli kumbe hata quran ni fix na chai za waarabu enzi hizo kina muhammad wanasikia story za wayahudi wanaamini kama zilivo
ila wewe mjingamimi una akili ya kujua uongo uko wapi maana wewe umesoma unajua biology na unajua kuzaa bila sex haiwezekani,,,,Sasa kama wewe una akili timamu na hujalewa cocaine ya dini yako ukishasoma hii verse usigeuke tena kusema kuzaa bila mapenzi inawezekana

Quran 19:17-22
17.Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu. 17


19_18.gif

18. (Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu. 18


19_19.gif

19. (Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika. 19


19_20.gif

20. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba? 20


19_21.gif

21. (Malaika) akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa. 21


19_22.gif

22. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali


Au unataka kusema na hzo ni story za wayahudi??Basi quran nzima itakuwa story za wayahudi
Si umesema qurani NI Hadith za uongo lakini Bado unaziamini na kuweka aya zake.
Mimi nawaamini wayahudi.alikuwa mtoto wa zinaa.
 
Mkuu hakikisha unakula ugali wa dona kila siku mchana, Piga push ups maana ni zoezi la mwili mzima. Lala usingizi wa masaa nane, acha punyeto kama ni muumini, baada ya wiki moja utakuwa ukiamka asubuhi mguu wa tatu unakuwa umenyanyua shuka.
 
jaman hapa kwenye kukimbia kilometer hizi tujue kwanza mwili wake na uzito wake mana unaweza kuta ni ile mili ya kina wiz khalifa au snop[emoji23]ukitwanga kilometer nyingi sana unamteketeza badala ya kusaidia[emoji23]
Tena kama ana mwili wa staili hii, akishakimbia asijinyime kula.

Ale sanaaa aachane na balanced diet (ila asile junk foods).

Atakua ana nenepa kimazoezi (mascular body)

#YNWA
 
Si umesema qurani NI Hadith za uongo lakini Bado unaziamini na kuweka aya zake.
Mimi nawaamini wayahudi.alikuwa mtoto wa zinaa.
Ahha kwahyo wewe unaamini wayahudi kuliko quran?
Kama mimi navoamini quran kuliko hadith za sungura mjanja?
 
Perhaps this is the! Best answer that he can get here. Am curious to know was the girl ready for the game? Ama was thinking of it ndani ya suruali afu akapona mnara haunasi akaaamua awe mpole kujipushia fedheha?

Lkn je hana skills nyingine zaidi? Like hajui hata matumizi ya nyenzo mbadala ambayo yangempagawisha mdada adi amsaidie kutafuta netwk?

Lastly dogo mwanamke anachotafuta ni kukojozwa. So hata kidole ukikitumia vzr kinatosha kbs kukuepushia fedheha.

Tena you do it bila presha huku huna presha ya kutumia uume wako. Akiwa anakolea anataka upande unamwambia relax wala usiwe na presha. Akikojoa vzr unamwambia basi mama leo ilikuwa ni siku yako tuu. Ipo siku nitakuja kwaajili yangu na wewe tena.
Unamalizia na mabusu moto moto.

Hizi ni skills ndogo ndogo za kukufanya upuke fedheha ndogo ndogo
Duh umenikumbusha mdada mmoja nilimkojoleaaa alafu yeye ndio kwanza kawasha moto kinyamaaa anataka dyudyu iendelee kupampu..... ikabidi nimuwekeee vidole chezea sanaaaa piga sanaaaa madoleee alikojoaaa na kelele akapigaaa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom