Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

Usicho kielewa ni kwamba, watusi na waethiopia ni watu wawili tofauti kabisa.
1. watusi ni warefu na weusi, ethiopians wafupi na weupe
2. hakuna mtusi mwenye nywele za maburushi, waethiopia nywele wengine kama waarabu
3. watusi wametokea along that Nile rive, eneo la Sudan kuelekea Misri, waethiopia wametokea pale walipo.
4. weusi mzuri wa watusi huwezi kuukuta ethiopia.
kwaiyo watusi hawajatokea ethiopia, ila walisambaa walitokea maeneo ya Axum, along Nile river kwenye mipaka ya ethiopia na sudan kuelekea egypt.
 
ungesema wairaq wa kule mbulu sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…