Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wanafanana na wasomali sana aiseeUkienda kule Tanga lushoto kuna kabila linaitwa wambugu hebu kawaangalie nao kama hutasema ni wasomali
Yah! Nimeoa kwenye hilo kabila, wale ni Cushite origin yao ni EthiopiaUkienda kule Tanga lushoto kuna kabila linaitwa wambugu hebu kawaangalie nao kama hutasema ni wasomali
ungesema wairaq wa kule mbulu sawaWadau hamjamboni nyote?
Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa.
Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame na Waziri Mkuu wa Ethiopia Dr. Abiy Ahmed pamoja na nyinginezo
kwa rejea yako
Usiku mwema
View attachment 2997061View attachment 2997068View attachment 2997069View attachment 2997070View attachment 2997074View attachment 2997075
na mimi ndo mtigrays kabisaKama ni hivyo na mm ni muethiopia.
Ongeza warangi na wanyaturuWAIRAQ AU WAMBURU WA MANYARA NI WAETHIOPIA PURE MPAKA MAJINA YANA FANANA.NA HISTORIA YAO INAONYESHA WAMETOKEA HUKO KARNE YA 18