Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

Wachaga, Warangi na Wasambaa ni Wabantu kama Wagogo na Wasukuma. Wamasai ni Nilo Hamit (Hemites). Wairaqw ndo Cushites. Watutsi bi la shaka ni Nilo hamites kama ilivyo kwa Wamaasai na Wabarbaig kwa Tanzania.
😂😂😂😂😂Ndio mimi nashangaa toka lini mrangi,msambaa na mchaga akawa ni mkushi!?
Hii historia watu sijui wameitoa wapi kuwa makabila yote ya kaskazini wakushi!?
 
Warusi + wanyankole+ wachina+ Masai ni jamii moja, walioingia Kenya na Kaskazini mwa Tanzania wakijiita Masai , walioingia Uganda wanyankole, walioingia Rwandan na Burundi, Kigoma waliitwa watusi, walioingia DRC waliitwa Banyamlenge. Baadhi ya watusi wana nywele za kisomali, Ethiopia na wasomali ni jamii moja.
Sio wasomali wote.
Kuna jamii na jamii.Asili kubwa ya Somali ni Nilotes.
Na jamii wengi ni jamii ya arab(Yemeni) kitaalamu ya kihistoria nimesahau wanaitaje.
Ila Somalia ndugu wao wakubwa Yemeni/Abri.
 
Wachaga, Warangi na Wasambaa ni Wabantu kama Wagogo na Wasukuma. Wamasai ni Nilo Hamit (Hemites). Wairaqw ndo Cushites. Watutsi bi la shaka ni Nilo hamites kama ilivyo kwa Wamaasai na Wabarbaig kwa Tanzania.
umeongea sahihi kabisa, watusi ni Nilotic, sio cushtic. hiyo NIlo inatokana na wato kuishi along NIle river.
 
Tanzania mkuu makabila asili ya wakush ni manne tu hayo mengine msitake kutudanganya.
-Wambulu/wairaqwu.
-Wamang'ati.
-Wanyaturu.
-Wanyisanzu.

Wamaasai ni NILOTES.
WACHAGA,WASAMBAA,WAPARE wote ni WABANTU PURE MKUU.
Sasa sijajua historia gani imekudanganya mrangi au mchaga mkushi!??
hao warangi wanaofanana kabisa na wasomali ni wa wapi? kuanzia wembamba hadi sura, na wengine hadi nywele.
 
hao warangi wanaofanana kabisa na wasomali ni wa wapi? kuanzia wembamba hadi sura, na wengine hadi nywele.
Hao wabongo tu kaka,hao ni wabantu.Labda kwasababu wamezaana na wamburu na wanyaturu maana Kondoa kuingia Manyara na Singida ni njia moja.
 
Usicho kielewa ni kwamba, watusi na waethiopia ni watu wawili tofauti kabisa.
1. watusi ni warefu na weusi, ethiopians wafupi na weupe
2. hakuna mtusi mwenye nywele za maburushi, waethiopia nywele wengine kama waarabu
3. watusi wametokea along that Nile rive, eneo la Sudan kuelekea Misri, waethiopia wametokea pale walipo.
4. weusi mzuri wa watusi huwezi kuukuta ethiopia.
kwaiyo watusi hawajatokea ethiopia, ila walisambaa walitokea maeneo ya Axum, along Nile river kwenye mipaka ya ethiopia na sudan kuelekea egypt.
Watigrinyan hawa weusi kama watutsi tu.
Screenshot_2024-05-23-16-18-44-26_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
Screenshot_2024-05-23-16-17-18-12_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
Screenshot_2024-05-23-16-19-41-17_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
 
Ukienda kule Tanga lushoto kuna kabila linaitwa wambugu hebu kawaangalie nao kama hutasema ni wasomali
Wambugu ni Wairaqwi au Wambulu ile immigration iliyotoka Ngorongoro Creater baada ya Mtume wao kutabiri kuvamiwa na wamasai so Wairaqwi wengine walikimbia mlima kilimanjaro na hadi Lushoto so kule kwa wasambaa sababu ya ubaguzi wao wairaqwi hawakuzaliana kivile na wenyeji ndio maana walibakia na nywele na rangi za kiasili from ethiopia.. wenyeji ndio waliwapa hilo Jina wambugu yaani kisambaa ni washamba kwa kuwadharau mno.. yaani ilifika mtu ukiitwa mbugu unapigana bwai bwai tu..

Kuna Wairaqwi walifika hadi Iringa kwa Mkwawa baadae Kijana mmoja alifanikiwa kumtia Mimba mtoto wa Chief Mkwawa bila ndoa wala mahali Wairaqwi walipatwa khofu kuuliwa wote wakajikusanya na kukimbia Iringa kurudi Manyara kumbe Mkwawa baada ya kusikia binti yake ana mimba alifurahi sana akataka amuozeshe binti yake kutahamaki kabila zime limesepa... Wairaqwi walipo rudi Manyara Mbulu kwa wenzao walikuwa wanazungumza lugha iliybomoka yaaniisiyo sawa ndio wenzao wakawaita nyie ni wambulu...

Leo tunaishia hapa kuna mwenye swali?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa.

Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame na Waziri Mkuu wa Ethiopia Dr. Abiy Ahmed pamoja na nyinginezo
kwa rejea yako

Usiku mwema

View attachment 2997061View attachment 2997068View attachment 2997069View attachment 2997070View attachment 2997074View attachment 2997075
Wanyarwanda hawana vinasaba hata kimoja dhidi ya Ethiopian... and huyo waziri mkuu ni Muslim kuna uwezekano ni asili ya Somalia hana issue.. Ethiopia pia kuna samalian kama nchi zingine tu zilivyo one people different color aliimba Lucky Dube
 
Siyo wabantu wale,ni waethiopia,warangi,wanyaturu,wanyiramba,sandawe huo ukanda inapanda Hadi manyara Arusha,Kenya,wali-migrate wakawa wanaishia mahali makundi makundi
Mkuu hiyo historia ulosoma wewe warangi waethiopia imetokea wapi!?
-WARANGI,WANYIRAMBA WABANTU MKUU.
-Wasandawe ni KHOISAN MKUU.
-Wanyaturu jina lao ASILIA ni ARIMI na walitokea Central Ethiopia miaka ya 1800s.
-WAMBURU jina lao halisi ni IRAQWU nao wametokea Capricorn Ethiopia miaka hiyo hiyo ya mid 1800s.

AYA TULETEE HISTORIA YA WARANGI HAPA KUTHIBITISHA KAMA WAETHIOPIA.
Msiokoteze stori na kuja kudanganya watu mkuu.
 
Wambugu ni Wairaqwi au Wambulu ile immigration iliyotoka Ngorongoro Creater baada ya Mtume wao kutabiri kuvamiwa na wamasai so Wairaqwi wengine walikimbia mlima kilimanjaro na hadi Lushoto so kule kwa wasambaa sababu ya ubaguzi wao wairaqwi hawakuzaliana kivile na wenyeji ndio maana walibakia na nywele na rangi za kiasili from ethiopia.. wenyeji ndio waliwapa hilo Jina wambugu yaani kisambaa ni washamba kwa kuwadharau mno.. yaani ilifika mtu ukiitwa mbugu unapigana bwai bwai tu..

Kuna Wairaqwi walifika hadi Iringa kwa Mkwawa baadae Kijana mmoja alifanikiwa kumtia Mimba mtoto wa Chief Mkwawa bila ndoa wala mahali Wairaqwi walipatwa khofu kuuliwa wote wakajikusanya na kukimbia Iringa kurudi Manyara kumbe Mkwawa baada ya kusikia binti yake ana mimba alifurahi sana akataka amuozeshe binti yake kutahamaki kabila zime limesepa... Wairaqwi walipo rudi Manyara Mbulu kwa wenzao walikuwa wanazungumza lugha iliybomoka yaaniisiyo sawa ndio wenzao wakawaita nyie ni wambulu...

Leo tunaishia hapa kuna mwenye swali?
Hakuna swali hapo.
 
Wanyarwanda hawana vinasaba hata kimoja dhidi ya Ethiopian... and huyo waziri mkuu ni Muslim kuna uwezekano ni asili ya Somalia hana issue.. Ethiopia pia kuna samalian kama nchi zingine tu zilivyo one people different color aliimba Lucky Dube
Asili haitizami dini.
Ethiopia wakristu wapo tena wengi sana.Abiy Ahmed ni Oromian sio Somali.
Rwanda vinasaba na Ethiopia wanavyo.
 
Back
Top Bottom