miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Hhhhhh ni vile tu wamekosa connection, wangerudi nchi yaoHata wasukuma wa Tz wanafanana na wazulu wa south afrika ila n bhas tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhhhh ni vile tu wamekosa connection, wangerudi nchi yaoHata wasukuma wa Tz wanafanana na wazulu wa south afrika ila n bhas tu
Shida ushamba mzigo hawawez oshi tena kuleHhhhhh ni vile tu wamekosa connection, wangerudi nchi yao
Makabila yote hayo ni ya wakush ,hata watutsi pia ni wakushYah! Nimeoa kwenye hilo kabila, wale ni Cushite origin yao ni Ethiopia
Wambugu ni ndugu zetu Wairaqw (Wambulu) na asili yetu ni Ethiopia. Ni Wakushi (Cushites), siyo wabantu. Hata Watutsi siyo wabantu.Ukienda kule Tanga lushoto kuna kabila linaitwa wambugu hebu kawaangalie nao kama hutasema ni wasomali
Aise!Hata wasukuma wa Tz wanafanana na wazulu wa south afrika ila n bhas tu
watu wengi Afrika Mashariki ni ya Wakushi, kuanzia watusi,wachaga, wairaq/wambulu, wamasai, wasambaa, warangi n.k.Makabila yote hayo ni ya wakush ,hata watutsi pia ni wakush
Ushawahi kutana na wanawake wahuko lo??? Nasikia ni wazuri hatariii!
Wanyarwanda na Waethiopia ni ndugu.Wadau hamjamboni nyote?
Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa.
Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame na Waziri Mkuu wa Ethiopia Dr. Abiy Ahmed pamoja na nyinginezo
kwa rejea yako
Usiku mwema
View attachment 2997061View attachment 2997068View attachment 2997069View attachment 2997070View attachment 2997074View attachment 2997075
Unajidanganya mkuu.Tutsi ni warefu kuliko Wasomali na Waethiopia.
Wanawake wengi wa kiethiopia hawana umbo namba nane kama Watutsi
Wa Ethiopia weusi tiii wapo,jamii yao wanaitwa SOMALI.Usicho kielewa ni kwamba, watusi na waethiopia ni watu wawili tofauti kabisa.
1. watusi ni warefu na weusi, ethiopians wafupi na weupe
2. hakuna mtusi mwenye nywele za maburushi, waethiopia nywele wengine kama waarabu
3. watusi wametokea along that Nile rive, eneo la Sudan kuelekea Misri, waethiopia wametokea pale walipo.
4. weusi mzuri wa watusi huwezi kuukuta ethiopia.
kwaiyo watusi hawajatokea ethiopia, ila walisambaa walitokea maeneo ya Axum, along Nile river kwenye mipaka ya ethiopia na sudan kuelekea egypt.
Warangi ni WABANTU mkuu.Ongeza warangi na wanyaturu
Wachaga, Warangi na Wasambaa ni Wabantu kama Wagogo na Wasukuma. Wamasai ni Nilo Hamit (Hemites). Wairaqw ndo Cushites. Watutsi bi la shaka ni Nilo hamites kama ilivyo kwa Wamaasai na Wabarbaig kwa Tanzania.watu wengi Afrika Mashariki ni ya Wakushi, kuanzia watusi,wachaga, wairaq/wambulu, wamasai, wasambaa, warangi n.k.
hata ivyo, kati ya makabila yote ya wakush, wale wenye vinasaba vya ethiopia zaidi watusi wanaweza kuwa wa mwisho. the closest utakuta ni wambulu na watu wote wa babati huko, hao wanafanana na waethiopia kila kitu kuanzia tamaduni na hadi sura. watusi kutokana na kimo na weusi wao, inasemekana ni kabila fulani along mto Nile maeneo ya katikati ya sudan and ethiopia.
Wapo wa Irakw hapo Manyara tu. Ni wasomali watupu.Ukienda kule Tanga lushoto kuna kabila linaitwa wambugu hebu kawaangalie nao kama hutasema ni wasomali
Tanzania mkuu makabila asili ya wakush ni manne tu hayo mengine msitake kutudanganya.watu wengi Afrika Mashariki ni ya Wakushi, kuanzia watusi,wachaga, wairaq/wambulu, wamasai, wasambaa, warangi n.k.
hata ivyo, kati ya makabila yote ya wakush, wale wenye vinasaba vya ethiopia zaidi watusi wanaweza kuwa wa mwisho. the closest utakuta ni wambulu na watu wote wa babati huko, hao wanafanana na waethiopia kila kitu kuanzia tamaduni na hadi sura. watusi kutokana na kimo na weusi wao, inasemekana ni kabila fulani along mto Nile maeneo ya katikati ya sudan and ethiopia.