Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

hao warangi wanaofanana kabisa na wasomali ni wa wapi? kuanzia wembamba hadi sura, na wengine hadi nywele.
Wabantu wa humu humu katikati mwa Afrika kama ilivyo kwa Wambugwe wa ziwa Manyara. Lakini pili tukurekebishe; warangi siyo wembamba kuwazidi Wanyaturu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa.

Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame na Waziri Mkuu wa Ethiopia Dr. Abiy Ahmed pamoja na nyinginezo
kwa rejea yako

Usiku mwema

View attachment 2997061View attachment 2997068View attachment 2997069View attachment 2997070View attachment 2997074View attachment 2997075
Well unaonekana hauko educated on subject na bado umeleta maada!
Waethiopia= unaongelea nchi yenye majimbo 9 amhara,oromo,gambela,ogaden ,sidama ,Afar na mengine utajaza
Na katika jimbo kuna watu wa aina yake
mfano gambela-Huku unapata watu wanaofanana na sudan , jamii ya nnuer , ogaden wasomali,afar cushitic nubian,
Hizo sura ulizo weka n representation ya makabila mawili tu ya ethiopia.

plus huyo rasi Abiy ahmed ni oromo ambalo kihistoria wanasema walikua n watu wa madagasca
 
Abiy Ahmed ni muislam kaka.
Ila Ethiopia lilikua taifa la kikristo kabla uislam haujaenezwa toka arabuni.
Nenda Central Ethiopia kuna makanisa yenye miaka mingi kushinda misikiti.
Huyo abiy ana hudhuria msikitini kwenu
 

Attachments

  • A413E57B-8F99-4540-891C-5868547D0174.jpeg
    A413E57B-8F99-4540-891C-5868547D0174.jpeg
    369.4 KB · Views: 9
Wabantu wa humu humu katikati mwa Afrika kama ilivyo kwa Wambugwe wa ziwa Manyara. Lakini pili tukurekebishe; warangi siyo wembamba kuwazidi Wanyaturu.
Ila wanyaturu wana maumbo mazuri na wanavutia kuliko warangi.
 
Wairaqw na Waburunge ni jamii moja ya Wakushi. Wafyomi (wagorowa wa babati), Waburunge wa Kondoa Mashariki na Wambugu wa Bumbuli wote wametoka kwa Wairaqw (Wambulu). Wote ni jamii moja ya Wairaqw (Wakushi wa kusini-Southern Cushites).
Mkuu hii Bendera imekuwaje maana nimekuja kuiona for the first time jana... kabla ya hapa sijawahi fahamu kama tuna bendera
 
Hiyo ni Bendera ya Utawala wa Wairaqw miaka hiyo kabla ya Mkoloni kuja na kabla ya Uhuru. Baada ya Tanganyika kupata uhuru Machifu wote wa tawala za Asili (Tawala za Makabila) kushusha bendera zao. Na sisi Wairaqw tukashusha yetu. Hiyo Bendera ukiiangalia vizuri inahusiana na Ethiopia. Bendera zote za Majimbo ya Ethiopia na hata ile ya Serikali kuu ya Shirikisho la Ethiopia ina Nyota ya Daudi kama hiyo ya Wairaqw.
Mkuu hii Bendera imekuwaje maana nimekuja kuiona for the first time jana... kabla ya hapa sijawahi fahamu kama tuna bendera
 
sawa kabisa. Wanyaturu ni Wakushi kama ilivyo kwa Wairaqw na asili yao ni Ethiopia.
Mie mkewangu mama mnyaturu baba muiraqwu.
Aisee wale watu wazuri bhana.
Wana ngozi laini na baby face, sio kama warangi wana sura za kukomaa mapema.
 
Hiyo ni Bendera ya Utawala wa Wairaqw miaka hiyo kabla ya Mkoloni kuja na kabla ya Uhuru. Baada ya Tanganyika kupata uhuru Machifu wote wa tawala za Asili (Tawala za Makabila) kushusha bendera zao. Na sisi Wairaqw tukashusha yetu. Hiyo Bendera ukiiangalia vizuri inahusiana na Ethiopia. Bendera zote za Majimbo ya Ethiopia na hata ile ya Serikali kuu ya Shirikisho la Ethiopia ina Nyota ya Daudi kama hiyo ya Wairaqw.
Ila ninyi wairaqw hamkuwa wakorofi kama wanyaturu.
Wanyaturu kihistoria walikua panga mkononi sasa hivi huwenda interaction imewafanya wapoe.
 
Mie mkewangu mama mnyaturu baba muiraqwu.
Aisee wale watu wazuri bhana.
Wana ngozi laini na baby face, sio kama warangi wana sura za kukomaa mapema.
sawa kabisa. Warangi wana ngozi ya Kibantu.
 
Ila ninyi wairaqw hamkuwa wakorofi kama wanyaturu.
Wanyaturu kihistoria walikua panga mkononi sasa hivi huwenda interaction imewafanya wapoe.
Upo sahihi kabisa. Historia inatuambia kwa asili Wairaqw siyo watu wa vita ndo maana wakimbia kutoka Ethiopia. Walikimbia vita vya kugombania malisho na ardhi na tauni. Lakini pia wairaqw na Wanyaturi tangu wakutane Tanganyika hawakuwahi kupigana. Wamekuwa wakichukuliana kama ndugu huku wakiwa na adui wa pamoja (Wamang'ati au Wabarbaiqw na wamasai).
 
Upo sahihi kabisa. Historia inatuambia kwa asili Wairaqw siyo watu wa vita ndo maana wakimbia kutoka Ethiopia. Walikimbia vita vya kugombania malisho na ardhi na tauni. Lakini pia wairaqw na Wanyaturi tangu wakutane Tanganyika hawakuwahi kupigana. Wamekuwa wakichukuliana kama ndugu huku wakiwa na adui wa pamoja (Wamang'ati au Wabarbaiqw na wamasai).
Mmang'ati nae kiasili ndugu yenu imekuaje mkashikiana mapanga tena!?
Ila nimesikia stori kwa mababu wa kinyamwezi kuhusu wanyaturu maana neno nyaturu ni la kinyamwezi ndilo waliwapachika wanyaturu.
Wanasema baadhi ya maeneo wanyaturu hapa Tanganyika waliyapata kwa kuvamia.
 
Mmang'ati nae kiasili ndugu yenu imekuaje mkashikiana mapanga tena!?
Ila nimesikia stori kwa mababu wa kinyamwezi kuhusu wanyaturu maana neno nyaturu ni la kinyamwezi ndilo waliwapachika wanyaturu.
Wanasema baadhi ya maeneo wanyaturu hapa Tanganyika waliyapata kwa kuvamia.
Wamang'ati na Wairaqw hawana undugu hata chembe. Wamang'ati (au Wadatooga-jina sahihi la kabila lao) ni Nilotes (Nilo Hamite ou Hemites) yaani wahamiaji kutoka kando kando ya mto Nile (Egypt na Sudan) wakati wairaqw ni Cushites (Wenyeji wa asili ya Nchi ya Kushi-Ethiopia, Eritrea na Jibuti ya leo). Wairaqw na Wamang'ati hata sasa hivi hawapendani, ni kwa vile tu wamejikuta uhuru umewakuta wanaishi majirani. Uhuru ungechelewa kidogo Wanang'ati wote wangeondolewa Manyara. Wangekuwa mbali na Mwiraqw.
 
Back
Top Bottom