Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Libadilishwe aiseeh, hatuwezi kuwa na kombe la ligi la kipumbavu hivyo.Angalia aina ya makombe ambayo wenzetu wanabeba.View attachment 2273029
Msimu ujao timu yako itakuja kushindania kombe gani?
Sina maana ya kwamba turudi kwenye lile ambalo Simba Sc alibeba, namaanisha kwamba badala ya kwenda mbele tumerudi nyuma mno. Bora kubaki palepale ama tuendelee mbele postively.