Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Mmmmh.. labdaa kweli.
 
Nakumbuka kitambo kidogo nikiwa Tanga kuna mzee alisahau kufunga zipu kwenye tamasha, nikamwambia baba funga dirisha, akanishangaa badae akaelewa. Akanipa elfu 2z
Ilikuwa nyingi sana ile pesa na maisha ya boarding.
Nigaie buku mkuu
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Pole sana dada.
 
Wow na mzgo upo nao swafi kabisa men tuko juu
 
Hiyo punani yako itakuwa na vidole vya kumfungulia zipu,haiwezekani zipu iwe inafunguka funguka tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…