Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Hahahahahaaaa

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Me ningekupa hi kwanza then ningekuvuta pembeni kisha ningekuomba nikusaidie kitu kwa upoleee halafu ningekufunga taratibuuu!

Then nikakuaga vizuri tu na kukuachia namba yangu kwa huduma zaidi. Hizo zilikuwa point 5 tayari!
Lazima namba ungeipata sio kwa ukarimu huo

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Ndivyo mlivyo...
 
Jifunze kujiangalia kwenye kioo kirefu kabla hujatoka nje maana siku waweza jikuta unagongana na Mkweo zipu ikiwa wazii
 
Nakumbuka kitambo kidogo nikiwa Tanga kuna mzee alisahau kufunga zipu kwenye tamasha, nikamwambia baba funga dirisha, akanishangaa badae akaelewa. Akanipa elfu 2z
Ilikuwa nyingi sana ile pesa na maisha ya boarding.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Inawezekana alikosa confidence ya kukuelezea ila kukukazia macho ndio njia aliyoona nzuri and good thing it worked.

Wataalamu wa saikolojia wanaweza kusaidia, kuna aina ya watu akiona jambo la aibu yeye linamuathiri na kuona aibu zaidi kuliko hata mhusika mwenyewe.
 
Katika hii thread hadi sasa nimeona like 25, naomba kufahamu kwa walio-like, wamelike kwa kuwa wanawake hawapendani, au kwa kuwa mzigua90 kasahau kufunga zipu au kwa kua huyo dada hakumshtua kuwa zipu iko wazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…