Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Kwanza nianze kwa kusema, kama adhabu za dhambi zinatolewa kwa uzito, basi baada ya Muuaji basi angefuatia mwizi/kibaka na wote katika kundi hiloo.

Sasa nimeelewa ni kwa nini watu hua na roho za kikatili juu ya watu hawa, ni kwa maumivu waliopata.

Mtu unatafuta pesa kwa njia halali na ngumu, unaipata unaamua kuwekeza kwenye bidhaa zako.

Unajitesa na kujibana kupata unachohitaji, Una Punguza starehe Angalau ufanye mambo ya msingi.

Lakini jitihada zote hizi zinamalizwa na mtu mwenye tamaa asiyetaka kufanya kazi, mpenda starehe, mfujaji wa pesa, n.k n.k

Hawa watu wamenipiga vitu vingi sana, Electronics karibuni zote za ndani, Pc, flat, Home theater, jiko la umeme, Desktop, Assets nyingne za kubebeka, simu yenye connection zangu zote za maisha na mambo muhimu sana ndani ya ile simu, Sitaki kuzungumzia thamani katika pesa.

Yaani nilipandwa na hasira sijapata ona, ikawa napita pita mtaani, nisikie mtu anasema mwiziii, nikaondoe hasira zangu zote kwake.

Vijana wenzangu, tujitume, tuwe na hofu ya Mungu na maovuu, Tupunguze starehe tusizo ziweza, tukubali kukosa, Swala la wanawake pia linachangia hili, kumridhisha mwanamke mtu unatafuta pesa haramu, usione ya kua ukifanya hivyo unamuumiza mwenzako.

Mwenye Tabia ya wizi Popote ulaaniwe hata kama ndio unasoma hapa, Pumbavu.
 
Usiku huwa nalala nimeweka risasi chamber kabisa nikiamka usiku wa manane nazunguka nyumba taratibu kwa umakini nikiwasubiri hao wezi wajichanganye na siku nikikutana nao nitaua hapohapo Nina kisasi nao cha muda mrefu sana hadi niuwe mmoja ndo kisasi changu kitaisha.

Hawa washenzi wakikuibia ndo utajua kumbe ni watu wasio stahili huruma
 
Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa 3 chali wamepigwa sumu
 
Usiku huwa nalala nimeweka risasi chamber kabisa nikiamka usiku wa manane nazunguka nyumba taratibu kwa umakini nikiwasubiri hao wezi wajichanganye na siku nikikutana nao nitaua hapohapo Nina kisasi nao Cha muda mrefu sana hadi niuwe mmoja ndo kisasi changu kitaisha.
Hawa washenzi wakikuibia ndo utajua kumbe ni watu wasio stahili huruma
Dadeq noma Sana hata Mimi nikija pata pesa za hapa na pale lazima nitanunua manati ya chuma,first wanaojiita vibaka wa Kwenye vichochoro nitaanza deal nao Barabara nikiwa kama.

Street night Walker wakinivizia Ile style Yao ya simama hapo hapo nitakachofanya ni mashine kua loaded na kuwasha fegi,nafanya hivyo kitaa nachoishi

Watajuta nakwambia watakua wanaogopa kukaba Watajua Kila wamuonaye ni Malaika wa kifo!

Pumbafu Sana Hawa vibaka!
 
Nikisikiaga mwizi ii huwa naenda na siulizi ni kupunguza hasira zangu hapo
 
Back
Top Bottom