Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa mkuu, wanasema matendo yote utendayo kwa kudhamiria lazima yakurudie, hii ndo kanuni ya ulimwengu.Laana itawashika tu kama wee mwenyewe hujawahi kuiba
Daaa kama movie aisee,yaan jamaa wakat amaungua huku anaongea maneno hayo daaJuzi goba njiaa nnee alichomwa mwizi huku dem wake mwenye mimba akishuhudiaa jamaa anaungua uku jamaa akiropoka nshauwa dereva boda boda nanee na kuwaibia boda bodaa,cku yk ilikuwa imefkaa wkt anaungua anasemaa maselaa tusiwaendekezee sana wanawakeee kwa kila wanachotuambiaaa .
Yeah tenaa juzi tu hapaa,anawakaa moto uku akiongeaaa na dem wake anayefanyaga naye hzo hrkt alikuwa anashuhudia kbs,ilaa dem yupo polic now maana wadau walimuonea yule kiumbe haliyopo tumboni hurumaaDaaa kama movie aisee,yaan jamaa wakat amaungua huku anaongea maneno hayo daa
Acha weee.Usiku huwa nalala nimeweka risasi chamber kabisa nikiamka usiku wa manane nazunguka nyumba taratibu kwa umakini nikiwasubiri hao wezi wajichanganye na siku nikikutana nao nitaua hapohapo Nina kisasi nao Cha muda mrefu sana hadi niuwe mmoja ndo kisasi changu kitaisha.
Hawa washenzi wakikuibia ndo utajua kumbe ni watu wasio stahili huruma
JelaMi nimeapa nikimkamata mwizi kwangu nampa adhabu ndogo 2 halaf namuacha yan nakata nyama yote ya kwenye nyayo zote za miguu na mikono af namwacha aende hakika hatonisahau
karibu mkuu nikupe advataizJela
Ni kitu cha ajabu sana kwako siyo?Acha weee.
Ile yenyewe au ka toy ka kumwaga maji tuf tuf tuf.
Yeah. Na sipendi kabisa.Ni kitu cha ajabu sana kwako siyo?
Duh au mim nimesoma vibaya bandiko lakeSimu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa3 chali wamepigwa sumu
Kumbuka hawa ndio wanachangia ajira za polisi, wanasheria, wapishi, magereza na viongozi wa dini, wezi hawa ambao wewe unawaona wabaya wakiacha kazi yao hao niliowataja wataandamana kwa kukosa ajira.Kwanza nianze kwa kusema, kama adhabu za dhambi zinatolewa kwa uzito, basi baada ya Muuaji basi angefuatia mwizi/kibaka na wote katika kundi hiloo.
Sasa nimeelewa ni kwa nini watu hua na roho za kikatili juu ya watu hawa, ni kwa maumivu waliopata.
Mtu unatafuta pesa kwa njia halali na ngumu, unaipata unaamua kuwekeza kwenye bidhaa zako.
Unajitesa na kujibana kupata unachohitaji, Una Punguza starehe Angalau ufanye mambo ya msingi.
Lakini jitihada zote hizi zinamalizwa na mtu mwenye tamaa asiyetaka kufanya kazi, mpenda starehe, mfujaji wa pesa, n.k n.k
Hawa watu wamenipiga vitu vingi sana, Electronics karibuni zote za ndani, Pc, flat, Home theater, jiko la umeme, Desktop, Assets nyingne za kubebeka, simu yenye connection zangu zote za maisha na mambo muhimu sana ndani ya ile simu, Sitaki kuzungumzia thamani katika pesa.
Yaani nilipandwa na hasira sijapata ona, ikawa napita pita mtaani, nisikie mtu anasema mwiziii, nikaondoe hasira zangu zote kwake.
Vijana wenzangu, tujitume, tuwe na hofu ya Mungu na maovuu, Tupunguze starehe tusizo ziweza, tukubali kukosa, Swala la wanawake pia linachangia hili, kumridhisha mwanamke mtu unatafuta pesa haramu, usione ya kua ukifanya hivyo unamuumiza mwenzako.
Mwenye Tabia ya wizi Popote ulaaniwe hata kama ndio unasoma hapa, Pumbavu.
Rudi ukasome vizuri kaibiwa kila kituSimu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa3 chali wamepigwa sumu
Mbona mwenzio kataja vitu vya thamani kubwa kuliko hivyo vya kwako!Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa 3 chali wamepigwa sumu