Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Kwanza nianze kwa kusema, kama adhabu za dhambi zinatolewa kwa uzito, basi baada ya Muuaji basi angefuatia mwizi/kibaka na wote katika kundi hiloo.

Sasa nimeelewa ni kwa nini watu hua na roho za kikatili juu ya watu hawa, ni kwa maumivu waliopata.

Mtu unatafuta pesa kwa njia halali na ngumu, unaipata unaamua kuwekeza kwenye bidhaa zako.

Unajitesa na kujibana kupata unachohitaji, Una Punguza starehe Angalau ufanye mambo ya msingi.

Lakini jitihada zote hizi zinamalizwa na mtu mwenye tamaa asiyetaka kufanya kazi, mpenda starehe, mfujaji wa pesa, n.k n.k

Hawa watu wamenipiga vitu vingi sana, Electronics karibuni zote za ndani, Pc, flat, Home theater, jiko la umeme, Desktop, Assets nyingne za kubebeka, simu yenye connection zangu zote za maisha na mambo muhimu sana ndani ya ile simu, Sitaki kuzungumzia thamani katika pesa.

Yaani nilipandwa na hasira sijapata ona, ikawa napita pita mtaani, nisikie mtu anasema mwiziii, nikaondoe hasira zangu zote kwake.

Vijana wenzangu, tujitume, tuwe na hofu ya Mungu na maovuu, Tupunguze starehe tusizo ziweza, tukubali kukosa, Swala la wanawake pia linachangia hili, kumridhisha mwanamke mtu unatafuta pesa haramu, usione ya kua ukifanya hivyo unamuumiza mwenzako.

Mwenye Tabia ya wizi Popote ulaaniwe hata kama ndio unasoma hapa, Pumbavu.
Mkuu pole Sana,mm nimewahi kuibiwa,nikafanikiwa kumkata mwizi wangu nikampeleka mahakani,huko akanishinda kesi, yaaaani!!,niliumia Sana mwizi,anakkera Sana,pole Sana mkuu aise!
 
Ni kweli wizi ni mmbaya tena sana, ila kumbukeni kuwa watu wengi sana wanapewa ulemavu, wanauliwa au kuteswa kwa sababu ya kudhaniwa kuwa ni wezi.

Kujichukulia sheria mkononi kuna hatari sana, utajisikiaje unampiga mtu hadi kufa halafu kumbe kasingiziwa au mistake of Identity
Mwizi tunaemsema hapa Ni Yul aliyeruka ukuta with intent to harm or to steal au yule tuliyemshika red handed na pikipiki ya wizi au tuliyemkamata na Mali ya wizi.
Hawa wa kudhaniwa tunawaachia polisi wapate pesa ya kiwi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
***** hiyoo roho labda nivute bangi kwanza.
Kaka. Hujawahi kuibiwa simu na laptop zenye taarifa muhimu?
Hujawahi kuibiwa michango ya harusi halafu harusi Ni mwezi ujao?
 
Kwanza nianze kwa kusema, kama adhabu za dhambi zinatolewa kwa uzito, basi baada ya Muuaji basi angefuatia mwizi/kibaka na wote katika kundi hiloo.

Sasa nimeelewa ni kwa nini watu hua na roho za kikatili juu ya watu hawa, ni kwa maumivu waliopata.

Mtu unatafuta pesa kwa njia halali na ngumu, unaipata unaamua kuwekeza kwenye bidhaa zako.

Unajitesa na kujibana kupata unachohitaji, Una Punguza starehe Angalau ufanye mambo ya msingi.

Lakini jitihada zote hizi zinamalizwa na mtu mwenye tamaa asiyetaka kufanya kazi, mpenda starehe, mfujaji wa pesa, n.k n.k

Hawa watu wamenipiga vitu vingi sana, Electronics karibuni zote za ndani, Pc, flat, Home theater, jiko la umeme, Desktop, Assets nyingne za kubebeka, simu yenye connection zangu zote za maisha na mambo muhimu sana ndani ya ile simu, Sitaki kuzungumzia thamani katika pesa.

Yaani nilipandwa na hasira sijapata ona, ikawa napita pita mtaani, nisikie mtu anasema mwiziii, nikaondoe hasira zangu zote kwake.

Vijana wenzangu, tujitume, tuwe na hofu ya Mungu na maovuu, Tupunguze starehe tusizo ziweza, tukubali kukosa, Swala la wanawake pia linachangia hili, kumridhisha mwanamke mtu unatafuta pesa haramu, usione ya kua ukifanya hivyo unamuumiza mwenzako.

Mwenye Tabia ya wizi Popote ulaaniwe hata kama ndio unasoma hapa, Pumbavu.
Mwaka 2021 ulikuwa nuksi mno kwangu... Marafiki zangu walivunja ofisi mara mbili na wakaiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora nicheke tu
 
Ni kweli wizi ni mmbaya tena sana, ila kumbukeni kuwa watu wengi sana wanapewa ulemavu, wanauliwa au kuteswa kwa sababu ya kudhaniwa kuwa ni wezi.

Kujichukulia sheria mkononi kuna hatari sana, utajisikiaje unampiga mtu hadi kufa halafu kumbe kasingiziwa au mistake of Identity
Kuna habari tena kama sikosei ilipostiwa humu 2015

Jamaa alienda kudai pesa zake...wakati anaondoka mdaiwa akapiga yowe la mwizi...wananchi wenye hasira kali wakajitokeza wakampiga jamaa anayedai hadi kufa
 
Usiku huwa nalala nimeweka risasi chamber kabisa nikiamka usiku wa manane nazunguka nyumba taratibu kwa umakini nikiwasubiri hao wezi wajichanganye na siku nikikutana nao nitaua hapohapo Nina kisasi nao cha muda mrefu sana hadi niuwe mmoja ndo kisasi changu kitaisha.

Hawa washenzi wakikuibia ndo utajua kumbe ni watu wasio stahili huruma
Siku wanakuja hutoamin hata silaha yako hutotumia
 
Kwanza nianze kwa kusema, kama adhabu za dhambi zinatolewa kwa uzito, basi baada ya Muuaji basi angefuatia mwizi/kibaka na wote katika kundi hiloo.

Sasa nimeelewa ni kwa nini watu hua na roho za kikatili juu ya watu hawa, ni kwa maumivu waliopata.

Mtu unatafuta pesa kwa njia halali na ngumu, unaipata unaamua kuwekeza kwenye bidhaa zako.

Unajitesa na kujibana kupata unachohitaji, Una Punguza starehe Angalau ufanye mambo ya msingi.

Lakini jitihada zote hizi zinamalizwa na mtu mwenye tamaa asiyetaka kufanya kazi, mpenda starehe, mfujaji wa pesa, n.k n.k

Hawa watu wamenipiga vitu vingi sana, Electronics karibuni zote za ndani, Pc, flat, Home theater, jiko la umeme, Desktop, Assets nyingne za kubebeka, simu yenye connection zangu zote za maisha na mambo muhimu sana ndani ya ile simu, Sitaki kuzungumzia thamani katika pesa.

Yaani nilipandwa na hasira sijapata ona, ikawa napita pita mtaani, nisikie mtu anasema mwiziii, nikaondoe hasira zangu zote kwake.

Vijana wenzangu, tujitume, tuwe na hofu ya Mungu na maovuu, Tupunguze starehe tusizo ziweza, tukubali kukosa, Swala la wanawake pia linachangia hili, kumridhisha mwanamke mtu unatafuta pesa haramu, usione ya kua ukifanya hivyo unamuumiza mwenzako.

Mwenye Tabia ya wizi Popote ulaaniwe hata kama ndio unasoma hapa, Pumbavu.
Hakuna kitu kinaniudhi kama polisi kuwauwa majambazi wanajitokeza wangese kuwatetea majambazi hao.

Kuna mwaka fulani nilikuwa nasafiri toka Mtukula kuja Karagwe tukamkuta hakimu wa wilaya fulani ametekwa pamoja na familia yake. Nao hao majambazi wakamnanihii mke wa hakimu huyo eti kwa nini hawana hela. Tena mbele ya mmewe na watoto wao. Tangia siku hiyo nilimchukia sana mtu anaiyeitwa jambazi.
 
Juzi goba njiaa nnee alichomwa mwizi huku dem wake mwenye mimba akishuhudiaa jamaa anaungua uku jamaa akiropoka nshauwa dereva boda boda nanee na kuwaibia boda bodaa,cku yk ilikuwa imefkaa wkt anaungua anasemaa maselaa tusiwaendekezee sana wanawakeee kwa kila wanachotuambiaaa .
yale ya mbosso anaiba katika ile nyimbo ili kumridhisha demu
 
Hapa mtaani kumekua na wizi wa flat screen sana.
Sasa tumekuja na suluhisho.
Juzi alikamatwa mmoja watu wakamvua suruali na kuminya kengele. Kengele zilipobadilika na kua Kama uji walimwachia aende zake.
Siku tatu nyingi tunaona Kuna sehemu Kuna maturubhai, ubwabwa maharage kwa sana.
😂😂😂😂😂😂hamuendi peponi
 
Juzi goba njiaa nnee alichomwa mwizi huku dem wake mwenye mimba akishuhudiaa jamaa anaungua uku jamaa akiropoka nshauwa dereva boda boda nanee na kuwaibia boda bodaa,cku yk ilikuwa imefkaa wkt anaungua anasemaa maselaa tusiwaendekezee sana wanawakeee kwa kila wanachotuambiaaa .
Mkewe atoe hyo mimba atazaa kajambazi
 
Wizi na uchangudoa mtu akishazama huko ni ngumu kutoka, huwezi ukamwambia changu au kibaka waache Kazi hizo haramu hata ukiwapa milioni 10 miezi 2 pesa zote zimekwisha kwenye starehe.
 
tinaishi kama wanyama mbugani ili maisha yaemdelee lazima mmoja awe mnyonge. Usiue mwizi peleka polisi
 
Back
Top Bottom