Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Dah hayo makundi ni sumu...utawaonea huruma kama hawajawahi kukupiga tukio..ila hawafai hata kidogo..takataka kabisaa...wachawi hawafai kabisa,mbwa kabisaaa...wezi taka oza kabisa plus majambazi taka funza kabisaa...
Wote boss wao mmoja.
Hakuna kibaka,mwizi jambazi asiye mshirikina.
Wote upewa nguvu na mganga.
Mganga na mchawi ni ndugu na kila mmoja anaouwezo wa kumroga mwenzake afe ni timing.
 
Ukimmakata mwizi mfungie choo cha wageni mpe silesi mbili na maji kwa siku mwambie toka yako humu chooni ukinitajia wezi wote.
Hata awe Sugu au mbishi vipi atawataja wote.
 
Kuna mmoja alijichanganya akaiba randa dukani kwangu mchana kweupe, bahati nzuri wife akamstukia, maana alijidai kununua kitu kidogo akatoa elfu 10 sasa alipotoka tu kuchukua chenji huku nyuma jamaa akachukua randa akaifutika kwenye ustawi wa jamii. Wife kucheck randa ambayo jamaa alikuwa anaiangalia haipo huku jamaa anaanza kuondoka kwa kasi na kusahau chenji yake! Wife akapiga mbinja masela wakajaa, weeee, cha moto alikipata, jamaa moja likamtwisha ngumi ya mdomo akatema meno. Wakati anasikilizia maumivu kustukia jamaa anarusha randa kutoka alikokuwa ameificha! Chukueni randa lenu! Tulipiga, mpaka leo namwonaga mtaani alishakuwa mlemavu kutokana na kipigo hicho! SIYO WA KUACHA WAPUUZI HAWA!
 
Mimi nimeapa nikimkamata mwizi kwangu nampa adhabu ndogo 2 halafu namuacha yaani nakata nyama yote ya kwenye nyayo zote za miguu na mikono afu namwacha aende hakika hatonisahau
Atapona akusanifu ama kukudhuru.
Kuwa kama mkurya, akikamata mwizi anakimbilia kukata p****.

Sababu ukishaziondoa, anakosa jeuri ya kukwapua, akwapue akamhonge nani wakati uwezo wa kiamsha tamaa ushauondoa?
 
kuna sehemu niliskiaga wakiwakamata wanawakata maskio sa sijui ni adhabu tosha au
 
kuna sehemu niliskiaga wakiwakamata wanawakata maskio sa sijui ni adhabu tosha au
Mkuu msihangaike na Hawa pimbi. Vua suruali yake na boxer. Tafuta kengele zilipo. Zikamate zile kengele mbili Kisha zizungushe Mara sita Kama vile unakamua nguo yenye maji. Ikifika ya sita hajawataja wenzie nenda ya Saba na nane. Kengele zitapasuka huko huko bila kutoa damu Wala Nini. Mwachieni kuepuka ushahidi Kama hatoki mbali mtakula ubwabwa chini ya maturubhai ndani ya siku tatu
 
Mkuu msihangaike na Hawa pimbi. Vua suruali yake na boxer. Tafuta kengele zilipo. Zikamate zile kengele mbili Kisha zizungushe Mara sita Kama vile unakamua nguo yenye maji. Ikifika ya sita hajawataja wenzie nenda ya Saba na nane. Kengele zitapasuka huko huko bila kutoa damu Wala Nini. Mwachieni kuepuka ushahidi Kama hatoki mbali mtakula ubwabwa chini ya maturubhai ndani ya siku tatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
***** hiyoo roho labda nivute bangi kwanza.
 
Atapona akusanifu ama kukudhuru.
Kuwa kama mkurya, akikamata mwizi anakimbilia kukata p****.

Sababu ukishaziondoa, anakosa jeuri ya kukwapua, akwapue akamhonge nani wakati uwezo wa kiamsha tamaa ushauondoa?
mzee hio adhabu yani bora wakuue nilimshuhudia mwizi 1 alikamatwa na mjeda arusha akamkata nyama ya kwenye nyayo za miguu af akamwambia atembee sio poah
 
Mkuu msihangaike na Hawa pimbi. Vua suruali yake na boxer. Tafuta kengele zilipo. Zikamate zile kengele mbili Kisha zizungushe Mara sita Kama vile unakamua nguo yenye maji. Ikifika ya sita hajawataja wenzie nenda ya Saba na nane. Kengele zitapasuka huko huko bila kutoa damu Wala Nini. Mwachieni kuepuka ushahidi Kama hatoki mbali mtakula ubwabwa chini ya maturubhai ndani ya siku tatu
Dah mwaka jana Kuna mwizi alichomwa moto hapa mtaani Hadi akawa mkaa akafa chululuu imesimama nayo imeungua
Pimbi kafa kadinda
 
Nashauri ulimkamata mwizi usithubutu kumpiga wala kumjeruhi. Chukua saruji mkorogee kama kikombe anywe afu muachie aende zake.
Ndo maana mwizi ukimfukuza kimya kimya huwa wanaogopa Sana anaweza hata kujisalimisha Polisi mwenyewe.
 
Ni kweli wizi ni mmbaya tena sana, ila kumbukeni kuwa watu wengi sana wanapewa ulemavu, wanauliwa au kuteswa kwa sababu ya kudhaniwa kuwa ni wezi.

Kujichukulia sheria mkononi kuna hatari sana, utajisikiaje unampiga mtu hadi kufa halafu kumbe kasingiziwa au mistake of Identity
 
Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa 3 chali wamepigwa sumu
Mkuu,elewa,jamaa anasema simu ina connection za maisha ndo maana anaililia.
 
Back
Top Bottom