Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

Juzi goba njiaa nnee alichomwa mwizi huku dem wake mwenye mimba akishuhudiaa jamaa anaungua uku jamaa akiropoka nshauwa dereva boda boda nanee na kuwaibia boda bodaa,cku yk ilikuwa imefkaa wkt anaungua anasemaa maselaa tusiwaendekezee sana wanawakeee kwa kila wanachotuambiaaa .
 
Daaa kama movie aisee,yaan jamaa wakat amaungua huku anaongea maneno hayo daa
 
Acha weee.

Ile yenyewe au ka toy ka kumwaga maji tuf tuf tuf.
 
Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa3 chali wamepigwa sumu
Duh au mim nimesoma vibaya bandiko lake
 
Kumbuka hawa ndio wanachangia ajira za polisi, wanasheria, wapishi, magereza na viongozi wa dini, wezi hawa ambao wewe unawaona wabaya wakiacha kazi yao hao niliowataja wataandamana kwa kukosa ajira.
 
Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa3 chali wamepigwa sumu
Rudi ukasome vizuri kaibiwa kila kitu
 
Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa 3 chali wamepigwa sumu
Mbona mwenzio kataja vitu vya thamani kubwa kuliko hivyo vya kwako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…