Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Mtu anatoka tu out of nowhere anakuja kukuibia. Kwani shida anazo peke yake? Litalomkuta atajua mwenyewe.Kwanza nianze kwa kusema, kama adhabu za dhambi zinatolewa kwa uzito, basi baada ya Muuaji basi angefuatia mwizi/kibaka na wote katika kundi hiloo.
Sasa nimeelewa ni kwa nini watu hua na roho za kikatili juu ya watu hawa, ni kwa maumivu waliopata.
Mtu unatafuta pesa kwa njia halali na ngumu, unaipata unaamua kuwekeza kwenye bidhaa zako.
Unajitesa na kujibana kupata unachohitaji, Una Punguza starehe Angalau ufanye mambo ya msingi.
Lakini jitihada zote hizi zinamalizwa na mtu mwenye tamaa asiyetaka kufanya kazi, mpenda starehe, mfujaji wa pesa, n.k n.k
Hawa watu wamenipiga vitu vingi sana, Electronics karibuni zote za ndani, Pc, flat, Home theater, jiko la umeme, Desktop, Assets nyingne za kubebeka, simu yenye connection zangu zote za maisha na mambo muhimu sana ndani ya ile simu, Sitaki kuzungumzia thamani katika pesa.
Yaani nilipandwa na hasira sijapata ona, ikawa napita pita mtaani, nisikie mtu anasema mwiziii, nikaondoe hasira zangu zote kwake.
Vijana wenzangu, tujitume, tuwe na hofu ya Mungu na maovuu, Tupunguze starehe tusizo ziweza, tukubali kukosa, Swala la wanawake pia linachangia hili, kumridhisha mwanamke mtu unatafuta pesa haramu, usione ya kua ukifanya hivyo unamuumiza mwenzako.
Mwenye Tabia ya wizi Popote ulaaniwe hata kama ndio unasoma hapa, Pumbavu.
Hivi nilikuwa nakimbilia wapi?Rudi ukasome vizuri kaibiwa kila kitu
Chief wezi upewa nguvu ya wizi na waganga.Usiku huwa nalala nimeweka risasi chamber kabisa nikiamka usiku wa manane nazunguka nyumba taratibu kwa umakini nikiwasubiri hao wezi wajichanganye na siku nikikutana nao nitaua hapohapo Nina kisasi nao cha muda mrefu sana hadi niuwe mmoja ndo kisasi changu kitaisha.
Hawa washenzi wakikuibia ndo utajua kumbe ni watu wasio stahili huruma
Ukiwa na silaha Ili uitumie au ukiwapania ili uwasulubu ni vigumu Sana kukutana nao.Dadeq noma Sana hata Mimi nikija pata pesa za hapa na pale lazima nitanunua manati ya chuma,first wanaojiita vibaka wa Kwenye vichochoro nitaanza deal nao Barabara nikiwa kama.
Street night Walker wakinivizia Ile style Yao ya simama hapo hapo nitakachofanya ni mashine kua loaded na kuwasha fegi,nafanya hivyo kitaa nachoishi
Watajuta nakwambia watakua wanaogopa kukaba Watajua Kila wamuonaye ni Malaika wa kifo!
Pumbafu Sana Hawa vibaka!
We jamaa katili Sana[emoji2]Mimi nimeapa nikimkamata mwizi kwangu nampa adhabu ndogo 2 halafu namuacha yaani nakata nyama yote ya kwenye nyayo zote za miguu na mikono afu namwacha aende hakika hatonisahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]saafi kabisaHapa mtaani kumekua na wizi wa flat screen sana.
Sasa tumekuja na suluhisho.
Juzi alikamatwa mmoja watu wakamvua suruali na kuminya kengele. Kengele zilipobadilika na kua Kama uji walimwachia aende zake.
Siku tatu nyingi tunaona Kuna sehemu Kuna maturubhai, ubwabwa maharage kwa sana.
Wezi, majambazi wachawi waganga ni kundi moja boss wao mmoja awafai kuwepo kwenye Jamii.Kumbuka hawa ndio wanachangia ajira za polisi, wanasheria, wapishi, magereza na viongozi wa dini, wezi hawa ambao wewe unawaona wabaya wakiacha kazi yao hao niliowataja wataandamana kwa kukosa ajira.
Simu tu unalia, mpaka kutamani kuua? Watu wanapukutishwa Radio, TV, godoro, kila kitu ndani. Kibaya zaidi wamegonga hadi kipolo cha kumalizia hasira asubuhi. Kama haitoshi unatoka nje, mbwa wote wa 3 chali wamepigwa sumu
Kuna watu walikamata mwizi wakakosa petrol akapita nyoka wakamuua wakamlazimisha mwizi amtafune mbichiNashauri ulimkamata mwizi usithubutu kumpiga wala kumjeruhi. Chukua saruji mkorogee kama kikombe anywe afu muachie aende zake.
Kina mama wa uswahilini ndio wanufaika wa wezi watoto wao uiba mabinti zao udanga Ili waleHapa mtaani kumekua na wizi wa flat screen sana.
Sasa tumekuja na suluhisho.
Juzi alikamatwa mmoja watu wakamvua suruali na kuminya kengele. Kengele zilipobadilika na kua Kama uji walimwachia aende zake.
Siku tatu nyingi tunaona Kuna sehemu Kuna maturubhai, ubwabwa maharage kwa sana.
Ndani ya nyumba lazima kuwe na nondo au panga lasivyo labda kama nyumba yako umejenga karibu na peponi.
Au labda waibe wakiwa umetoka.
Mimi naishi na nondo siku wezi wakijichanganya basi naondoka na mmoja wao kuzimu.
mwizi hapaswi kuonewa huruma hata kwenye maandiko matakatifu wameandikaWe jamaa katili Sana[emoji2]
Dah hayo makundi ni sumu...utawaonea huruma kama hawajawahi kukupiga tukio..ila hawafai hata kidogo..takataka kabisaa...wachawi hawafai kabisa,mbwa kabisaaa...wezi taka oza kabisa plus majambazi taka funza kabisaa...Wezi, majambazi wachawi waganga ni kundi moja boss wao mmoja awafai kuwepo kwenye Jamii.
Ulaya waliwabullets wote ukikamatwa mwizi chuma,ukikamatwa mchawi chuma wakawasafisha wote ndo wakawa na maendeleo.
Makundi haya ndio chanzo cha matatizo kwenye Jamii, urudisha nyuma Sana maendeleo.
Rwanda wamewabullets sana leo unatembea kwa amani usiku