The Lost Boy
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 248
- 311
Wakuu wiki iliyopita nilienda TRA kufunga biashara yangu baada ya kuona makadirio niliyoandikiwa ni makubwa mno na hayaendani na biashara.
Mwanzo Nilienda huko TRA kuomba kupunguziwa kodi tawi lao la chanika ilala. Kama kawaida wakamtuma afisa wao aje akague biashara yangu ili aone biashara hii inaendana na makadirio niliyoandikiwa au la!.
Basi afisa wao siku alivyokuja akakiri imekosewa nilivyokadiriwa. Na akaniambie niende chanika ofisini nitapunguziwa kodi
Siku nilivyorudi tena chanika nikakutana huyo Mama bonge Mkuu wao, huwezi ukaamini alikataa kunipunguzia. Na kwa nyodo akanaimbia kama vipi funga hiyo biashara. Maana hawezi kureverse alichokadiria
Baada ya kufikiria mno ikiwa sina namna nikaamua kufunga ile biashara. Kwa kufata utaratibu walionelekeza. Ikiwa ni pamoja na kulipa deni - nilifanya hivyo
Shida nikuwa kila mara natumiwa sms na hao TRA chanika kukumbushwa kulipa kodi ya awamu ya hii wakati nishafunga biashara . Nimeenda huko hawaoneshi ushirikiriano. Kila siku Njoo kesho.
Nifanyeje wadau
Mwanzo Nilienda huko TRA kuomba kupunguziwa kodi tawi lao la chanika ilala. Kama kawaida wakamtuma afisa wao aje akague biashara yangu ili aone biashara hii inaendana na makadirio niliyoandikiwa au la!.
Basi afisa wao siku alivyokuja akakiri imekosewa nilivyokadiriwa. Na akaniambie niende chanika ofisini nitapunguziwa kodi
Siku nilivyorudi tena chanika nikakutana huyo Mama bonge Mkuu wao, huwezi ukaamini alikataa kunipunguzia. Na kwa nyodo akanaimbia kama vipi funga hiyo biashara. Maana hawezi kureverse alichokadiria
Baada ya kufikiria mno ikiwa sina namna nikaamua kufunga ile biashara. Kwa kufata utaratibu walionelekeza. Ikiwa ni pamoja na kulipa deni - nilifanya hivyo
Shida nikuwa kila mara natumiwa sms na hao TRA chanika kukumbushwa kulipa kodi ya awamu ya hii wakati nishafunga biashara . Nimeenda huko hawaoneshi ushirikiriano. Kila siku Njoo kesho.
Nifanyeje wadau