fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
acha makasiriko mkuu utaskrini shoti vingi sana huu mwaka ndo kwanza nimeanza ntakua nakutag ili uwe unaskrini shoti na ntakulipa kabsa 🤣🤣Tuna screenshot hii tunaitunza.
Acha wivu na dharau kenge wewe.
Kwani mtu akisema anaenda marekani kuna nini kibaya?
Akienda akaja kuonyesha yupo huko utasemaje?
Roho mbaya tu
Wanwamke wanaponzwa na kauli zao chafu
Unakuta kiburi anapewa na boda boda anahongwa kwa pesa zakoWakiachwa ndio wanatia uluma. Wakiwa ndani wanakia majeuli kuliko maelezo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta uzi unachokiandika hapa ni kweli au unatafuta attention za watu tu ? Maana Mimi ni msomaji sana wa Simulizi zako na nimegundua wewe unaweza ukamtelekeza mwanamke bila huruma. Usiniulize Kwanini we jitafakari ni mara ngapi ulishahadaika ukaingia kwenye mtego wa Mwanamke na ukataka kumsaliti Mkeo ambaye ni Mwalimu huko Morogoro? Wilaya nimesahau.
Unakuta kiburi anapewa na boda boda anahongwa kwa pesa zako
Tuangazie upande mwingine. Kuna wengine walikuwa nazo na wakawatendea wengine yasiyo mema na kupoteza kila kitu. Sasa wanahangaika.Ukimuona mwanamke yeyote barabarani anauza kitu ukinunua usidai chenji, wewe ujui tu chenji yako inaenda kuleta faraja gani Kwa familia yake iliyobakia nyumbani.
Pana watoto wadogo, mama mzazi mzee mgonjwa anasubiria wanasubiria huyo muuza mihogo, karanga, maji nk barabarani jioni ili jiko liwashwe.
Hayupo mwanamke anaehangaika juani asiye na mtoto tegemezi nyumbani.
Hapo umepigwa ama unatupiga, haiwezekani atoke banana aje palestina huu ni uongo, yaani kapanda magari mawili mpaka matatu kufika palestina,Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
UmesemaUkimuona mwanamke yeyote barabarani anauza kitu ukinunua usidai chenji, wewe ujui tu chenji yako inaenda kuleta faraja gani Kwa familia yake iliyobakia nyumbani.
Pana watoto wadogo, mama mzazi mzee mgonjwa anasubiria wanasubiria huyo muuza mihogo, karanga, maji nk barabarani jioni ili jiko liwashwe.
Hayupo mwanamke anaehangaika juani asiye na mtoto tegemezi nyumbani.
1. Ukinunua kwa kina mama wanaohangaika juani barabarani usidai sana punguzo la bei, au kung'ang'ania sana akuongezee bidhaa uliyonunua. Huko kwenye ma-supermarket (kwa mabepari) tunanunua na tunalipa bei kama ilivyoandikwa na hatudai punguzo, kwa nini mama huyu mhangaikaji tutake kumkandamiza?Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
Mungu atakurudishia maradufuNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
Mi hata siulizagi maswali mengi ,kama ninayo nasaidia tu. Maana nilishawahi kwama na nikasaidiwa bila hata kuomba ila mtu alijua nimekwama kwa kuniangalia tu
Sawa mkuu lakini ukikua utaacha kuandika nadharia kama hizi kwasababu inaonekana huwajui wanawake vizuri.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
Ndio ivyo na lazima waendelee kuponzwa kwasababu ya ujinga waoWanwamke wanaponzwa na kauli zao chafu
Dawa yao ni kumtelekeza yeye pamoja na mtoto kwasababu ata ukitoa mahitaji yote bado utaishia kutukanwa na kujengewa chuki kwa uyo mtotoHongera kwa ulichokifanya ila wanawake wengi ni wazuri sana kinywani na kujitilisha huruma ili wapate mserereko. Nna ushuhuda wa mtu wa karibu sana, baba mtoto anawajibika sana lakini mwanamke kazi yake ni kumchafua kwa maneno kuwa hajigusi kwa chochote. Ukiwa mwepesi wa kuamini kila linalosemwa utalaani bila kujua uhalisia.
Wanawake hasa singo mazas wajifunze kuapreciate na kubariki juhudi zinazofanywa na wazazi wenzao, wakishindwa kufanya hayo yote ni bora kukaa kimya kuliko kuwachafua wakati wanatimiza majukumu yao na kuwajibika.
Unazani mwanamke atakubali kirahisi 😂😂 unataka akose kuonewa huruma na kupewa 50KKama utamuacha mwanamke wako basi mchukue mwanao umlee wewe mwenyewe.