Leo nimejisikia vibaya sana wakuu!

Leo nimejisikia vibaya sana wakuu!

Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.

Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!

Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.

Yeye " Kaka mambo"

Mimi " Poa,Kwema"

Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"

Mimi " Nikusaidie nini Sister?"

Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"

Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"

Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"

Yeye " Nakaa Banana"

Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"

Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"

Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:

Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"

Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"

Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"

Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:

Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"

Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!

Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!

Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.

Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.

Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).

Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!

USHAURI:

Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.

Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.

Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.

Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!

Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.

Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.

Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
Si Vizuri kutelekeza wamama,lakini siku zote by default mwanaume ni mbeba lawama ,huwezi jua kwanini alikimbiwa,labda sababu ya ujeuri wake ,ujeuri wa kulala na huyu na yule,ama uhuni wa kukamatisha mimba ya huyu unampa yule

Anyway ulifanya sadaka safi.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.

Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!

Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.

Yeye " Kaka mambo"

Mimi " Poa,Kwema"

Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"

Mimi " Nikusaidie nini Sister?"

Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"

Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"

Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"

Yeye " Nakaa Banana"

Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"

Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"

Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:

Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"

Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"

Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"

Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:

Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"

Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!

Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!

Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.

Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.

Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).

Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!

USHAURI:

Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.

Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.

Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.

Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!

Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.

Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.

Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
Haujuchukua namba yake ya simu
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.

Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!, Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!

Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.

Yeye " Kaka mambo"

Mimi " Poa,Kwema"

Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"

Mimi " Nikusaidie nini Sister?"

Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"

Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"

Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"

Yeye " Nakaa Banana"

Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"

Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"

Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:

Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"

Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"

Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"

Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:

Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"

Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!

Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!

Sasa ni kwamba, kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.

Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!. Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.

Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada, Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).

Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!

USHAURI:

Wanaume wenzangu, hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!, nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.

Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani, tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo, tatizo linakuwa kwenu, hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.

Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!, huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake, hakika huto toboa!.

Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!

Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao! Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.

Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake, unategemea nini?!.

Hebu naomba tubadilike! Tuache Upuuzi!
Muoe mkuu
 
Oya bishoo Haswaaa huyu jamaa ni nan mbona kama anataka akuoshee wakati hata hatumjui
aaah uyu mshamba mmoja kutoka kolomjie huko si unajua wasuKUMA tabia zao mkuu zinafanana na waSengerema
 
Acha mambo ya ajabu ww tamaa za ngono zitakucost.
Umeshindwa kusaidia wenye matatizo yanayoonekana km vilema na ombaomba unaenda toa 50k kwa kahaba/mzinzi. Badilika
 
kaka we ujajionea tu wapo wanawake wanapasua kchwa htar paka unaona kuzaa isiwe shida km mtoto akikua atakutafta sawa ila umesmea upand m1 upande wa2 ad mwanaume unaamua kupotzea mtoto na una kaz km ivo tanesco vpo vtu behind wapo wnawke pasua kupti mtoto anatak akumalze kiuchum ten km aush nae ndo kbsa
 
Kwa kile ulichoandika huenda kuna ukweli mkuu, japo kama haujawahi kukutana na madhira vyovyote unaweza sema.

Nimeshakutana na kisanga na mwanamke mmoja, sina hamu nae hata kidogo.

Mimi si mjuvi wa kuandika 'in brief' lakini, waone tu hivyo wanawake. Wapo wengine wana GUBU.
 
Well done.....brother....kuliko kutoa fungu la kumi huko kwa maparoko Bora utoe kwa mlengwa.
 
Kichwa cha habari "UMUGHAKA ATOA 50,000TSH"
 
If you are helping someone for the sake of her well being you dont need to tell. If you tell it was for your ego not for her wellbeing
 
🤣🤣unajua hata hapa kwetu kawe kuna sehemu inaitwa america sa uskute unaenda marekani hii ya kwetu afu unaTutambia
apo uskute kuna kimwali unampgia mingo humu umekuja na gia ya hyo ili umpate
Tuna screenshot hii tunaitunza.

Acha wivu na dharau kenge wewe.

Kwani mtu akisema anaenda marekani kuna nini kibaya?

Akienda akaja kuonyesha yupo huko utasemaje?

Roho mbaya tu
 
Huyu nimejiridhisha mkuu na dawa amendikiwa ila hakuwa na hela,mimi nimewahi kuwa tapeli na Jambazi,hivyo naelewa mtu akiwa tapeli,huyu mama alikuwa na uhitaji maana karibia pesa yote aliyokuwa nayo imeishia kwenye matibabu ya mwanaye!,Halafu mwanaye ni alichubuka usawa wa jicho hivyo alikuwa na Jeraha!

Kuna muda alitaka nisipompa hela nimsaidie kumnunulia mwanaye dawa alizoandikiwa,Aiseee kuna matapeli lakini yule Sister anapitia magumu mno!.


Yaani sielewi hata kesho na kuendelea atakula nini,kibaya zaidi sikuchukua namba yake!

Pesa niliyokuwa nimepanga nifanyie mambo yangu nimeona nimpatie yeye,kwani hata hivyo mkuu huwa tunapoteza kiasi gani kwenye mambo ya ajabu?,Huwezi amini baada ya kumsaidia nina amani kuliko kawaida!
Brother, what you did was so great, awe tapeli asiwe tapeli, rest assured kwamba you did the right thing na ndio maana moyo wako una amani.
 
Back
Top Bottom