Leo nimekutana na dungadunga wa kike kwenye daladala

Leo nimekutana na dungadunga wa kike kwenye daladala

Isije ikawa ni jamaa baunsa ana kifua kikubwa we ukadhani maziwa...then anajisugua sugua nyuma yako we unaona raha hata kituo ambacho ilikuwa ushuke unaghairi... Ndo basi tena....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
Mkuu, ulishindwa vipi kumwambia asimame mbele yako?

Anyway, contact ulichukua?
 
Pochi na fedha zako za mfukoni zilitoka salama?.....Maana kwa uzoefu 'wapiga ndole' hutumia hao wasichana. Wakati akikunyegeza na wewe kuanza kum-bashia huyo wenzako wanasachi mifukoni!
 
Kwa akili kama hizi kwanini kina Mdee wasiwadharau machadema?
 
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
Tit for that ungemgusisha pia
 
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
kwani ukitaja kituo ulichopandia unahisi tutakuja kukumalizia dunga wako.
 
Haya yapo kuna siku nikiwa maeneo yaofisini nikiwa natembea nilivamiwa na kukumbatiwa na mdada mtumishi mwenzangu akaning'ang'ania ananiambia kumbe unafaa kutumika maana nakuona upo fiti nikamwambia inatosha akasema hakuna hiyo subiri kwanza kiukweli gobole liliamka akashtuka akasepa zake
 
Pickpocket... Hakuwa peke yake alikuwa na wenzake, bahati mbaya walishindwa
 
Na me ilishawahi kunikuta kuna lidada lilisimama nyuma yangu tukawa tumeshika bomba sehemu moja likawa lilinibana na maziwa mgongoni kwenye daladala halikuishia hapo likawa linanipapasa masikio na kiwiko cha mkono , macho yalinitoka kama mjusi aliyebanwa na mlango mdudu ulisimama kwa hasita nikawa naukemea ushuke hadi napata siti kijasho kilikuwa kishanitoka , alafu nilipokaa lidada likaanza kunicheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo hata sura hujamuona!! Huenda lilikuwa Baunsa(Shoga) hilo...
 
Tuchukue tahadhari gani sasa mkuu[emoji1787]
 
Mara ya mwisho kupanda daladala hata sijui.
Pole sana.
 
Back
Top Bottom