Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

Najua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.

Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
Watu wanaibiana NYOTA bongo Hii [emoji848]
 
Ukute mama alishafariki anyway (mungu aepushilie hili mbali)
Najua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.

Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
 
Nilikuwa sijaingia umu siku nyingi.
Naona watu wanasema mimi ni mganga nimekuja kufanya marketing 😂😂😂
Jamani mimi nimewasilisha nilichosikia mengine nimekuachia msomaji
 
Back
Top Bottom