Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo ungemtongoza, hata kama ulikuwa humtaki, ungenitongozea mimi.[emoji23]
Mkuu,Huyo alikuwa anampanga mganga ili asikosee kwenye kumpa dawa konki ya kutongozwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Tupia hizo vocal nipo hapa 😂😂😂Mkuu,
Naomba nikutupie vocals tuone🤣
Mwa hapa hapana, nifungulie geti tuone kama napata pumziko mzee mimi.Tupia hizo vocal nipo hapa 😂😂😂
😂😂😂 Me napenda kuambiwa hadharaniMwa hapa hapana, nifungulie geti tuone kama napata pumziko mzee mimi.
Nitakuwa napumzikia hadharani kwani mama, fanya ufungue geti tuyaweke vizuri🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Me napenda kuambiwa hadharani
😂😂😂 Naogopa mnatoa 30k nyieNitakuwa napumzikia hadharani kwani mama, fanya ufungue geti tuyaweke vizuri🤣🤣🤣🤣
Kwani wewe price tag yako ni kiasi gani?🤣 Kule selfika juzi walisema wewe ni kisu na nusu, kama ni hivyo sikuwezi...sitaki stress mie🤣😂😂😂 Naogopa mnatoa 30k nyie
Tangazo limekaa kijanja sanaNilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.
Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"
"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"
Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.
Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.
Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Nina vingi.. 😂🤣Una nini lakini?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣 Walikudanganya bana me wa bushKwani wewe price tag yako ni kiasi gani?🤣 Kule selfika juzi walisema wewe ni kisu na nusu, kama ni hivyo sikuwezi...sitaki stress mie🤣
Sema kweli? 🤣🤣🤣🤣Nina vingi.. 😂🤣
Dogo mbea sana😀😀🔥Dogo mbea sana
Haya basi fanya wepesi mkuu tumalizane na hili jambo, hakuna sababu ya kukaa na jambo dogo mda mrefu🤣🤣🤣🤣 Walikudanganya bana me wa bush
😂😂😂😂Haya basi fanya wepesi mkuu tumalizane na hili jambo, hakuna sababu ya kukaa na jambo dogo mda mrefu🤣