Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Ha ha ha ha
Umeingizwa King kizembe sana mkubwa.
Umeingizwa King kizembe sana mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hii ya kudanganya ni bikra nayo hawatumii akili, hawaoni kwamba wakati namla nitagundua.Mwanamke anaweza Sema hata ni Bikra ili Kukupoteza Boya Uone Hajatumika.. Kumbe Jana Tu katembelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaHuyo mwanamke wala hakuwa Akiongea na mtu. Hiyo simu ni zuga tu na alijua kabisa unasikia anachosema. Sasa wewe badala umsemeshe unakuja kusema huku.
Useless
Wewe suala la mama yako kufa kesho mwachie Mungu,kwanini umuue mama yako kwasababu zako binafsi huku mtandaoni,si ujitangulize wewe kwanza kwa maneno yako....ndguNajua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.
Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
Huyo wamemficha kichawi haonekani. Usoni mwake wame mwekea uvuli kiasi kwamba wanaume hawavutiwi nae.Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.
Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"
"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"
Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.
Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.
Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Boda si ndio wanakaa sana mtaan..kila dem mpya wanamjua na mambo meng wanajuaYaani boda wanazaraulika hadi na wauza dawa za nguvu za kiume😎😎😎😎yaani kati yawote umeona mfano utolee boda
CCMchanel mambo?Naomba leo nikutongoze😁Ndio ujue maishani kuna mengi...
Ndio umeyasikia...
Hivi ni lazima sanaaa, Bado mdogo huyo sio kibibi.
Ni sala inamuhusu.. ungemshauri.
Kutongozwa anaweza kuwa hajawahi kutongozwa, hila kupelekewa moto kimasihara ni kwa saaana!Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.
Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"
"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"
Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.
Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.
Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.