Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

Sijui kwanini watu wanamtetea muhusika na kumlaumu mwenye nyumba.

Amesema anazo units 7 yumkini humo kapangisha mpaka watu wenye familia zao watoto wanaokua mna mahausigel na wengine ni watu wanaojiheshimu sana sasa hawezi kutokea kijana mmoja muhuni muhuni akavunja maadili ya jamii hii yote pana tuambiane ukweli.
 
Ungemshauri awe anawasha redio mkuu, kwa mbaaali naamini sauti haitasikia nje?

Alafu nyumba ngan hiyo sauti zinatoka nje Au Hakuna sealing boards.
Shida sio sauti tu ila kama wengine wana familia kuna namna hizo movements zinaharibu watoto wao.

Ukifuatilia moja ya mizizi ya watoto wa uswahilini kuharibikiwa mapema ni hizo exposure ya ngono katika umri mdogo.

Binafsi siwezi ingilia faragha ya mtu lakini ukiona hadi watu wanaungana kutaka aondoke. Bhasi pengine hata yeye alikosa ustaarabu pia
 
Wambie kinachowafanya wasilale na kufanya Yao ni kitu gani πŸ˜‚πŸ˜‚ kusikiliza tu jirani yao, wewe na wao acheni wivu, kama nyie wavivu mwacheni mwenzenu, sasa usiku wa manane unasikilizia Kwa jirani kunatoka sauti gani au kwako ni uswazi sana nini!
 
Kuna madogo kwa siku anaweza ingiza geto zaidi ya watatu, hii mbaya sana haileti picha nzuri
Alaf wanaharibu sana watoto hawajui tu
Kuna vitoto havilali jamn wakiamka wanaanza kudadis km wapo wengi wataulizana kama na wengine wamesikia waanze doria πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…