Leo nimemuacha mpenzi wangu rasmi

Baba ushaelewa vizuri unataka kunichosha tyuuu!! 🤣
hapana maana hivyo vipimbi ni vijanja sana tulikuatukiwinda huko kijijini nimevitafuna sana huko milimani...

nataka kujiridhisha kwamba tabia za pimbi ni za kuingilia hapa na kutokea pale, right? na kuchungulia chungulia inje kukiwa patulivu
 
Pole gentleman,
ungemtuma akapumzike au akapate kalikizo kidogo kwao , then akirudi mnakaa na kukubaliana jinsi ya utaratibu wa kula hapo nyumbani, na unampa utaratibu mathalani wa kula chakula pamoja mfano chai, lunch au dinner..

Ni ngumu kukutana kwenye milo hiyo mitata but ile ambayo unaweza..

Hii ingesaidia kuondoa hiyo changamoto kidogo
 
Mwanaume Gani unalialia kisa chakula? Hutufai kiumeni
 
Sasa kwa tabia hiyo ana u wife material gani hapo! Mbona fafa long time tu
 
Wahi mirembe hospitali ya vichaa

Mpenzi ndio mtu Gani ? Malaya wewe

Ungesema mke sawa .Mtu sio.mke unaleta hoja za kijinga humu .Oa treatment za mke Kwa mume ni tofauti na treatment za kuhudumia malaya la kiume kama wewe linaloita Mwanamke mpenzi tu wakati halijamuoa kama wewe usyejielewa
Alichokufanyia sawasawa Tena kakuhurumia
 
Huu uzi ufungwe tu 😀😀😀
 
Naona unampiga na shotocan. Punguza ukali mkuu kah
 
Chakula tu chief kinakutoa imani,usipokunywa hiyo juice na hayo matikiti unapungukiwa nini?
Wewe unaona ni jambo dogo? Dalili ya mvua ni mawingu. Anaweza kusababisha shida kubwa mbeleni. Mfano nikiugua anaweza asinipe chakula
 
hapana maana hivyo vipimbi ni vijanja sana tulikuatukiwinda huko kijijini nimevitafuna sana huko milimani...

nataka kujiridhisha kwamba tabia za pimbi ni za kuingilia hapa na kutokea pale, right? na kuchungulia chungulia inje kukiwa patulivu
Jipigie makofi 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…