Leo nimemzaba vibao kaka wa kazini

Huyu hayupo huko ni umbea tu unamsumbua
 
Hupendi umbea na huu uliotuletea ni nini?
 
Sasa janamke la chuga la kazi gani!?..nene,levi,kiuno kigumu,kusafisha naniliu halijui
 
Leo ndio nimejua kwamba wewe ni Ke.
Anywas......
Kwetu huku moja kati ya sheria za kazi ni......ukipigwa/ukipiga ama mkipigana na ikathibitika ni wote mnafukuza kazi na hakuna mjadala wala msamaha kwenye hilo.
Kuna levo za kufukuzwa kazi bro Ushimen

Imagine HR kapigana na mtunza garden ya ofisi, unadhani wote watafukuzwa?
 
Hiyo sio kazi! Wewe ni kibarua tu! Kazi gani mnaenda jumamosi na jumapili! Ni size yenu kukunjana! Kazini ukipigana unafukuzwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…