Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #41
ni rahisi kusema kuwa utaweza sababu hauna mchongo, ukiingia mzigoni sasa duh ! kwakweli mambo yasikie tu ukiwa nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kilichokupeleka hukoHakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Kwa hio ahame unampeleka kwenye kampuni yako au una option ipi huyu daktari wa mimea unampeleka wapi ambako unaona panamfaa? Mpe connection basi PM yake ipo wazi onyesha TOBOWewe pia hujaelewa kwanini nimemwambia ahame huko.
Na kama ungeelewa ungejua hasara ya Yeye kuondoka huko ni ndogo kuliko hasara anayoenda kuipata...
thank u chiefFanya kilichokupeleka huko
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Unazani kujiajiri ni jambo jepesi sana kwa Graduate?Nakushauri uhame ukajiajiri la sivyo utapotea.
Ikiwa kuna watu wawili ama watatu waliofanikiwa hapo peleleza wamefanikiwaje ndipo upime kina.
sahihi chief! japo moyo unafukutaMkuu kwanza hongera kwa kupata kazi yenye uhakika,ambayo inaambatana na kupewa bima ya afya,uhakika wa pesa kila mwezi itakayoambatana na annual increment,na finally uko subjected kwenye mikopo endapo utahitaji kwa siku zijazo,pili fanya kazi kwa bidii uwatumikie watanzania kwa moyo wako wote,kwani ulisoma na kuandaliwa ili utoe huduma kwa mwananchi yeyote ambaye yupo popote pale Tanzania bara au visiwani.Nakupa hongera tena mkuu.Mwanzo mgumu.
hapa itabidi nianze kufunga hirizi kiunoniNa hapo hawajaanza kukurushia vimbora...
Chukulia kama nafasi ya kujifunza maisha mengine kwa mudaagronomist
Anadhani sababu yeye alibebwa mgongoni kwa hio hawezi jua umbali wa Safari,Unazani kujiajiri ni jambo jepesi sana kwa Graduate?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
bila shaka wakuu wako wamekutupa shinyanga ndanindani. pole sana, pambana.Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
ni sahihi mkuu,Chukulia kama nafasi ya kujifunza maisha mengine kwa muda
not such easy chief!Pambana Mkuu
might be chief!bila shaka wakuu wako wamekutupa shinyanga ndanindani. pole sana, pambana.
Au acha hiyo kazi urudi Sinza........Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Kwani nilazima kuwa huko mkuu? Gairi tu kwa maana umeenda sehemu ambayo haupendi na hauwezi ku affordnipewe facilities pa kulala,usafiri na risk allowance hii jamii matukio ya kuuana plus migogoro ni njenje