Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Fanya kilichokupeleka huko
 
Wewe pia hujaelewa kwanini nimemwambia ahame huko.

Na kama ungeelewa ungejua hasara ya Yeye kuondoka huko ni ndogo kuliko hasara anayoenda kuipata...
Kwa hio ahame unampeleka kwenye kampuni yako au una option ipi huyu daktari wa mimea unampeleka wapi ambako unaona panamfaa? Mpe connection basi PM yake ipo wazi onyesha TOBO
 
Mkuu kwanza hongera kwa kupata kazi yenye uhakika,ambayo inaambatana na kupewa bima ya afya,uhakika wa pesa kila mwezi itakayoambatana na annual increment,na finally uko subjected kwenye mikopo endapo utahitaji kwa siku zijazo,pili fanya kazi kwa bidii uwatumikie watanzania kwa moyo wako wote,kwani ulisoma na kuandaliwa ili utoe huduma kwa mwananchi yeyote ambaye yupo popote pale Tanzania bara au visiwani.Nakupa hongera tena mkuu.Mwanzo mgumu.
 
Mkuu kwanza hongera kwa kupata kazi yenye uhakika,ambayo inaambatana na kupewa bima ya afya,uhakika wa pesa kila mwezi itakayoambatana na annual increment,na finally uko subjected kwenye mikopo endapo utahitaji kwa siku zijazo,pili fanya kazi kwa bidii uwatumikie watanzania kwa moyo wako wote,kwani ulisoma na kuandaliwa ili utoe huduma kwa mwananchi yeyote ambaye yupo popote pale Tanzania bara au visiwani.Nakupa hongera tena mkuu.Mwanzo mgumu.
sahihi chief! japo moyo unafukuta
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
bila shaka wakuu wako wamekutupa shinyanga ndanindani. pole sana, pambana.
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Au acha hiyo kazi urudi Sinza........
 
Back
Top Bottom