Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #61
how can i sustain such kind of life! while im nothingAu acha hiyo kazi urudi Sinza........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
how can i sustain such kind of life! while im nothingAu acha hiyo kazi urudi Sinza........
tatizo kitaa bila mishe ni jauKwani nilazima kuwa huko mkuu? Gairi tu kwa maana umeenda sehemu ambayo haupendi na hauwezi ku afford
hahahaaAngalau we una connection umepata kazi hadi Jahanam, kama unanafasi nzuri huko jahanam nifanyie mchakato nije kuwa hata msogeza kuni
Yes you will, keep going sonsahihi chief vp haya mazingira nita sustain kweli! hali si shwari
Tulia basi huko Swekeni ufanye kazihow can i sustain such kind of life! while im nothing
Ahsante kwa kunipa moyo ,ubarikiweYes you will, keep going son
Najua utaweza kwa sababu umeisha waona hao watu maisha yao ni mabaya na hukuridhika nayo
Hapo umeishayakataa kwa hiyo pambana tu utavuka
Fanya kilichokupeleka na haya ndio mafanikio ya mtu kuwaza hivyo
Nilipoondoka home niliambiwa unaenda kutafuta maisha mazuri sio mabaya na ndio niliyonayo mpaka leo nimezeeka
Hii kanda ya ziwa...tabora😂😂😂Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
chief nikitoka job nawahi geto kulala sina stori na watu zaidi ya kaziPole mkuu najua unalimisi bata la Dar,
Angalia usitembee na wake za watu utakwata mapanga
mkuu nitaangukia kwenye ulevi??Tulia mkuu, Mimi nikifika ili wafue nguo za maana kama suti na vitenge vile ni mpaka mvua za vuli na masika.
Baada ya muda utafanana nao
Halafu mtaungana kuiponda dar
Bora Uwe mlevimkuu nitaangukia kwenye ulevi??
daah vipi nitaijenga kesho yangu! kama nitaiabudu pombeBora Uwe mlevi
We ni muongo na mbaya zaidi uongo wako haujaupangilia!Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Sasa utafanyaje?mkuu nitaangukia kwenye ulevi??
frankly speaking.We ni muongo na mbaya zaidi uongo wako haujaupangilia!
Asubuhi ya leo chozi lilikutoka wakati ukiiacha stendi ya Mbezi na leo hiihii umefika uendako na lupangiwa kituo nje ya mji (120 km) na umefika na kukuta watu wanachota maji mchana kwa punda!!!!????
Tuanzie hapa: ni mkoa gani huo? Ulifika saa ngapi? Kutoka hapo mkoani mpaka huko wilayani umbali wa km 120 ulitumia muda gani na ukafika saa ngapi? Story ya kuungaunga isiyo na uhalisia. Peleka porojo zako kwa wapuuzi wenzio.
hahahaaSasa utafanyaje?
Una machaguo matatu
1) kuacha kazi na kurudi mjini ambapo kila mtu atakuponda kwa kuwa nyanya
2) kujiunga na vikundi vya dini
3)Kuwa mnywaji uliyepitiliza mpaka kwenye ulevi ili kupitisha usiku ukija kushtuka mvi zimemea kichwani
Chagua moja
kwanini ni walevi wakubwa namna hii! na mbaya zaid watoto wadogo wamezaaHuko ndio kuna fursa, inaonesha wakazi wa huko bado wana uhitaji mkubwa