Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

sahihi chief vp haya mazingira nita sustain kweli! hali si shwari
Yes you will, keep going son
Najua utaweza kwa sababu umeisha waona hao watu maisha yao ni mabaya na hukuridhika nayo
Hapo umeishayakataa kwa hiyo pambana tu utavuka
Fanya kilichokupeleka na haya ndio mafanikio ya mtu kuwaza hivyo

Nilipoondoka home niliambiwa unaenda kutafuta maisha mazuri sio mabaya na ndio niliyonayo mpaka leo nimezeeka
 
Yes you will, keep going son
Najua utaweza kwa sababu umeisha waona hao watu maisha yao ni mabaya na hukuridhika nayo
Hapo umeishayakataa kwa hiyo pambana tu utavuka
Fanya kilichokupeleka na haya ndio mafanikio ya mtu kuwaza hivyo

Nilipoondoka home niliambiwa unaenda kutafuta maisha mazuri sio mabaya na ndio niliyonayo mpaka leo nimezeeka
Ahsante kwa kunipa moyo ,ubarikiwe
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Hii kanda ya ziwa...tabora😂😂😂
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
We ni muongo na mbaya zaidi uongo wako haujaupangilia!
Asubuhi ya leo chozi lilikutoka wakati ukiiacha stendi ya Mbezi na leo hiihii umefika uendako na lupangiwa kituo nje ya mji (120 km) na umefika na kukuta watu wanachota maji mchana kwa punda!!!!????
Tuanzie hapa: ni mkoa gani huo? Ulifika saa ngapi? Kutoka hapo mkoani mpaka huko wilayani umbali wa km 120 ulitumia muda gani na ukafika saa ngapi? Story ya kuungaunga isiyo na uhalisia. Peleka porojo zako kwa wapuuzi wenzio.
 
We ni muongo na mbaya zaidi uongo wako haujaupangilia!
Asubuhi ya leo chozi lilikutoka wakati ukiiacha stendi ya Mbezi na leo hiihii umefika uendako na lupangiwa kituo nje ya mji (120 km) na umefika na kukuta watu wanachota maji mchana kwa punda!!!!????
Tuanzie hapa: ni mkoa gani huo? Ulifika saa ngapi? Kutoka hapo mkoani mpaka huko wilayani umbali wa km 120 ulitumia muda gani na ukafika saa ngapi? Story ya kuungaunga isiyo na uhalisia. Peleka porojo zako kwa wapuuzi wenzio.
frankly speaking.

hii sio chai, try to understand my logic
ndio maana nimetumia codes kulinda kibarua changu
 
Sasa utafanyaje?
Una machaguo matatu
1) kuacha kazi na kurudi mjini ambapo kila mtu atakuponda kwa kuwa nyanya

2) kujiunga na vikundi vya dini

3)Kuwa mnywaji uliyepitiliza mpaka kwenye ulevi ili kupitisha usiku ukija kushtuka mvi zimemea kichwani

Chagua moja
hahahaa
 
Back
Top Bottom