Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
-
- #81
sikubali demu wangu anitose, nasema sikubaliMimi niliacha kazi ya kuajiliwa mkoani ya ualimu na kukimbilia DSM kufanya biashara, maisha ni mafupi Mzee sometimes inabd uwe ni mbabe tuu kwenye kutafuta farijiko la moyo wako ,. Ila Kwa watoto wa mama sio rahs kujilipua, nenda tuu ukalime mboga mboga na demu wako utamsikilizia kwenye bomba tuu
daah chief ajira imenitenganisha na chain yanguHapo Ashura ndo kwa heli,tuachie sisi. Huko siku ukiletewa maji home na Mwajuma,ndo safari mpya hiyo
Mara mkuu karibu sananipewe facilities pa kulala,usafiri na risk allowance hii jamii matukio ya kuuana plus migogoro ni njenje
ahsante chiefMara mkuu karibu sana
Mwalimu!Mimi niliacha kazi ya kuajiliwa mkoani ya ualimu na kukimbilia DSM kufanya biashara, maisha ni mafupi Mzee sometimes inabd uwe ni mbabe tuu kwenye kutafuta farijiko la moyo wako ,. Ila Kwa watoto wa mama sio rahs kujilipua, nenda tuu ukalime mboga mboga na demu wako utamsikilizia kwenye bomba tuu
Pambana mkuu na umtangulize MunguAhsante kwa kunipa moyo ,ubarikiwe
Ungelijua hata kabla hujaondoka machali tulikuwa tumepangana kama samaki kwenye lindooo. Acha tu na sisi tusubiri kuona baada ya mamba kula kona,kenge yupi atakaimu😂😂😂😂😂daah chief ajira imenitenganisha na chain yangu
Hapo ndo umeharibu na wewePambana mkuu na umtangulize Mungu
Mi nikushauli tu japo najiuliza kwa nini hukujiongeza kabla hujaondoka huku ulijua utahama.Naiomba serikali yangu tukufu ya ccm ,iboreshe huduma ya maji .
Unachagua unaloona linafaa mengine unayaachaHapo ndo umeharibu na wewe
Hahhaahmkuu kwenda kusaga unga tu ni takriban km 17 mpaka mashineni
WhateverMwalimu!
Kuajiliwa = kuajiriwa
Pole sana.Utakuwa umeanza na ku-miss miguu ya kuku na utumbo wake.Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Huko ndio Kuna madini Sasa unaweza kuambilia kilo ya kitu dhahabu maisha yakabadilika kabsaisijekuwa Mpwapwa... ndani ndani huko milimani kutokea Kilosa ama Gairo