Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Sasa huko ndiko kwenye FURSA!
TULIZA kichwa, fikiri nje ya box, utashangaa utakavyoanza piga PESA...
 
...Hayo Yote yametokea LEO ASUBUHI...kama ulivyoandika ??? [emoji848]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Kilometers 120 kutoka mbezi Bado hujaenda mbali na Dar Bado upo mjini
 
Nimekumbuka Uzi wako huu

 
Alafu hakuleta feedback baada ya mkeo kuliwa dodoma kimasihara...
 
Bila kutafuna maneno huko ni useri bin Rombo. Sasa anza kufakamia mibanana wine hadi ufanane nao.
 
Kwa hiyo?
 
Pole sana ila umetumwa huko kama Musa uiokoe jamii hiyo isiwe ya kilevi,piga somo la kufanya kazi kwa bidii ili ukumbukwe kwa elimu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…