Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Na ukijifanya kutembea na mke wa ntu unarogwa na kurogwa.
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Sio karatu huku kwel[emoji848]
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Kwa sisi tulio Kaa dar es salaam Kwa muda mrefu tukiendaga huko mikoani kwetu tunapaona pa AJABU AJABU sana nazungumzia maeneo mengi huko mkoani....

Pambana kusanya maokoto then ukikamilisha kilicho kupeleka sepa huko usije ukarogwa Kwa kula vizuri au hata kupiga jeans au kadeti na mashati makali makali 😊😊😊😊😊
 
Chamsingi pambania kombe si kila aliyetoboa katoka kwenye kiyoyozi,piga kazi jimeki ukiona umepata unachotaka unarudi town uzuri wa kijiji chochote kile hakuna bajeti kubwa sana labda uwe mlevi..ukisema urudi town utaferi mana toka umekaa town hujawekeza chochote ukirudi unakuja kuanzia wapi.Huyo unayemuwaza bila hela ataenda kwa wenzako umepata fulsa itumie mapenzi yapo tu
 
Chamsingi pambania kombe si kila aliyetoboa katoka kwenye kiyoyozi,piga kazi jimeki ukiona umepata unachotaka unarudi town uzuri wa kijiji chochote kile hakuna bajeti kubwa sana labda uwe mlevi..ukisema urudi town utaferi mana toka umekaa town hujawekeza chochote ukirudi unakuja kuanzia wapi.Huyo unayemuwaza bila hela ataenda kwa wenzako umepata fulsa itumie mapenzi yapo tu
nimeupokea ushauri wakoo
 
Kwa sisi tulio Kaa dar es salaam Kwa muda mrefu tukiendaga huko mikoani kwetu tunapaona pa AJABU AJABU sana nazungumzia maeneo mengi huko mkoani....

Pambana kusanya maokoto then ukikamilisha kilicho kupeleka sepa huko usije ukarogwa Kwa kula vizuri au hata kupiga jeans au kadeti na mashati makali makali 😊😊😊😊😊
daah navopenda mikato mikali na panki hawa wazee wahuku wataniona navizia mabinti zao
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!

Tafuta gusta ufanye biashara huko, upumzishe hao punda
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!

Tafuta gusta ufanye biashara huko, upumzishe hao punda
 
We ni muongo na mbaya zaidi uongo wako haujaupangilia!
Asubuhi ya leo chozi lilikutoka wakati ukiiacha stendi ya Mbezi na leo hiihii umefika uendako na lupangiwa kituo nje ya mji (120 km) na umefika na kukuta watu wanachota maji mchana kwa punda!!!!????
Tuanzie hapa: ni mkoa gani huo? Ulifika saa ngapi? Kutoka hapo mkoani mpaka huko wilayani umbali wa km 120 ulitumia muda gani na ukafika saa ngapi? Story ya kuungaunga isiyo na uhalisia. Peleka porojo zako kwa wapuuzi wenzio.
Apa ndo unajipata kumbe mimi ni star apa jamii forum kuna wana wanakufuatilia 😂😂😂
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Wasalimie singida
 
Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.

Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)

Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.

Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.

Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
Pambana!
Screenshot_2023-11-20-21-30-51-742_com.facebook.katana.jpg
 
Mwenyewe nipo kijijini kwenye biashara ya uchuuzi sasa hawa wachuuzi maarufu niliowakuta sasa hivi hata salamu yangu wanapokea kinyonge sana kisa tuu nimepandisha bei kidogo ili nipate mzigo, mda wowote narogwa ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom