Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.
Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.
Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.
Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .
Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.
Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.
Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .
Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .