Leo nimepita Daraja la Wami ghafla nikabubujikwa na machozi kumkumbuka Hayati Magufuli

Leo nimepita Daraja la Wami ghafla nikabubujikwa na machozi kumkumbuka Hayati Magufuli

Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.

Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.

Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.

Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .

Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Uongozi ni changamoto mno na mara nyingi unapotoka kwenye nafasi ndipo mambo yako mazuri ama mabaya yanaonekana na kusemwa. John Pombe Joseph Magufuli katika uongozi wake pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu alithubutu kutaka kutufikisha mahali. Nikiri kusema hakupenda kuona jambo linakwama. Nakumbuka mh Kamwele alivyompa maneno makali pale daraja njia ya Morogoro Dodoma.
 
N
Huyu mtu jina lake litakumbukwa sana,nimeobserve hakuna anayepita kwenye mradi wowote mkubwa alioufanya kipindi chake bila kumtaja.Inawezekana pia alifanya miradi mingi ndani ya mda mfupi,or pia inawezekana alifanikiwa kuitangaza miradi yake kwa nguvu kubwa via media.Maana kama miradi kuna mikubwa sana iliyofanywa na marais waliopita ila hamna anayemtaja rais akifika eneo hilo.
Hoja yako ni kweli ila miradi yake mingi ilifanyika kwa ustadi na viwango ambavyo watangulizi wake hawajawahi kufanya;angalia stand za mabasi, angalia kivuko cha sengerema, angalia barabara ,husiende mbali anza sinza na nyingine, angalia hospitali. Cha zaidi ni kwamba hiyo miradi ilifanyika concurrenltly na bila kusimama. Hakuna kiongozi aliyepita aliyeweza kufanya haya. Hata mama yetu anapitia mgongo wake kwa viporo vilivyobakia. Na yeye tunamshukuru kwani alikuwa na uwezo wa kupotezea. Ingawa Mh huyu Bwana alikuwa na vimanagement style vyake vingine tantanishi; wenye fedha zao bank waliipata, wenye bereau de change Arusha na mikoa mikubwa watasimulia Jeshi lilivyoajibadilisha na kuwa wanamgambo kamata fedha. Sitataja suala la watoto wenye waliopata ujauzito mashuleni.All in all he was one among the bravest leaders ever in Tanzania. Itachukua miongo mingi kupata kiongozi wa Kaliba yake.
 
Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.

Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.

Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.

Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .

Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Una nachozi kama ya kuku tu. Unatokwa machozi kijinga sana. Unamlilia Magufuli ambaye hata familia yake ilifurahi kuona hayupo duniani!! Mtu machozi hata ulipofiwa na babu yako hukulia halafu mnalilia hili bubwasha liuaji!!

Daraja imejengwa kwa kodi zetu wote yeye alikuwa ni msimamizi tu.
 
Una nachozi kama ya kuku tu. Unatokwa machozi kijinga sana. Unamlilia Magufuli ambaye hata familia yake ilifurahi kuona hayupo duniani!! Mtu machozi hata ulipofiwa na babu yako hukulia halafu mnalilia hili bubwasha liuaji!!

Daraja imejengwa kwa kodi zetu wote yeye alikuwa ni msimamizi tu.
Duh! Hatari.
 
People used to remember me when I'm gone

In Magu the general Voice
 
Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.

Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.

Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.

Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .

Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Onyesha hayo machozi uliyokinga 🚮🚮🚮🚮🚮
 
Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.

Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.

Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.

Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .

Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Subiri waje watu waanze kukutukana wewe na Magufuli. watakutukana sana huwa hawapendi kusikia mambo kama haya kabisa.
 
Huyu mtu jina lake litakumbukwa sana,nimeobserve hakuna anayepita kwenye mradi wowote mkubwa alioufanya kipindi chake bila kumtaja.Inawezekana pia alifanya miradi mingi ndani ya mda mfupi,or pia inawezekana alifanikiwa kuitangaza miradi yake kwa nguvu kubwa via media.Maana kama miradi kuna mikubwa sana iliyofanywa na marais waliopita ila hamna anayemtaja rais akifika eneo hilo.
Kenyewe kalisema, Najua mtanikumbuka lakini si kwa mabaya!
 
Una nachozi kama ya kuku tu. Unatokwa machozi kijinga sana. Unamlilia Magufuli ambaye hata familia yake ilifurahi kuona hayupo duniani!! Mtu machozi hata ulipofiwa na babu yako hukulia halafu mnalilia hili bubwasha liuaji!!

Daraja imejengwa kwa kodi zetu wote yeye alikuwa ni msimamizi tu.
Sasa hii mitakataka yako haiwezi kusimamia? Tuache ujinga, Magufuli kwenye maendeleo alikuwa hana spare!
 
Lucas Mwanshambwa kapata mshirika katika zoezi lake endelevu la kububujisha machozi
 
Sasa hii mitakataka yako haiwezi kusimamia? Tuache ujinga, Magufuli kwenye maendeleo alikuwa hana spare!
Maendeleo kila Rais wa Tanzania amewahi kufanya kadri ya kipaumbele.

Kama wewe ni born after 1990 nitakuelewa kwa kuwa akina Mkapa wakifanya mambo ulikuwa unakula uji na kuvaa pampas. Na Mwinyi na Nyerere wakifanya makubwa pengine ulikuwa ni sperms tu kwenye pumbu za mtu fulani
 
Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.

Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.

Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.

Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .

Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Mna machozi mengi nyie mliozaliwa kuwa watumwa wa watu,
Kazi yenu hapa duniania ni kutukuza wengine

Hamuamini kama mnaweza kuwa au kufanya kama wengine

.magu alifanya kitu gan extraordinary ambacho wengine hawezi fanya
 
Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.

Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.

Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.

Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .

Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Tabia ya kububujikwa na machozi ni dalili ya USHOGA
 
Hata ww ukiwa Rais aukipewa lile kapu,ukaambiwa fanya a.b.c huwezi kushindwa kufanya.
Waliomtangulia kuna mambo walifanya na yeye kuna vitu amefanya,chochote unachokiana jua kuna wenzake pia walifanya.
 
Hakuna asiekuwa na mapungufu, ila aliinyoosha nchi kwa kiasi chake ingawa wengine hawakupenda hayo bali walitaka matabaka mawili tu na yeye alihakikisha wote wanagawana

Hela zipigwe lakini alionyesha kuwa inawezekana Tz kuwa giant
Hakuogopa na hilo limemkosti
 
Back
Top Bottom