Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ndugu yake Luca kwenye machozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona paragraph ya mwisho unajitetea?Huyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.
Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.
Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.
Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .
Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Takataka wewe, hivi unafikri hicho chuma kingekuwapo ungekuwa unalia kuuzwa bandari? Hao wengine labda kwa ufisadi ndiyo waliweza!Maendeleo kila Rais wa Tanzania amewahi kufanya kadri ya kipaumbele.
Kama wewe ni born after 1990 nitakuelewa kwa kuwa akina Mkapa wakifanya mambo ulikuwa unakula uji na kuvaa pampas. Na Mwinyi na Nyerere wakifanya makubwa pengine ulikuwa ni sperms tu kwenye pumbu za mtu fulani
Ngoja waje chawa wa mama + ant_magufuri + chadema wataanza kukosoa uandishi wako MRENGO ❌ watasema MLENGO ✓ huu Uzi utatoka vumbi MUDA SI MREFUHuyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.
Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.
Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.
Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .
Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .
Ni kweli kabisa naunga mkono hoja zako Ni ukweli halisi tutamkumbuka Tena kwa uzuriEnzi za jiwe watu walivutiwa sana na hotuba zake, zilionesha uthabiti wa kiongozi wa taifa.
Alikuwa na uwezo wa kutafuta ufumbuzi wa matatizo haraka na ikiwezekana pale pale ( jukwaani)
Alipenda sana Sifa hivyo ilimbidi akamilishe miradi kwa Kasi sana Ili aendelee kuaminiwa na kuonekana anamudu kazi yake ( pia hii ni karama)
UDHAIFU: Hakuwa mwanasiasa aliyemudu kukosolewa hadharani. Alitamani aachwe atimize makusudio yake bila kusumbuliwa ama kukosolewa.
MWISHO: JPM atabaki kukumbuk kabisawa kwa mazuri kuliko mabaya, hata waliomchukia wengi ( ukiacha wanufaika wa UDHAIFU wa Mama) wameanza kukiri hadharani mazuri ya mzilankende.
Nani kakuambia Bandari imuzwa wewe mavi ya bata? Ni mabadiriko ya uemdeshaji tu lakini WAPUMBAVU mumekarirshwa maneno ya WANAHARAKATI uchwara tu nanyi mnaropoka pumba.Takataka wewe, hivi unafikri hicho chuma kkngekuq
Takataka wewe, hivi unafikri hicho chuma kingekuwapo ungekuwa unalia kuuzwa bandari? Hao wengine labda kwa ufisadi ndiyo waliweza!
Mkuu mliberali hapo umesema kitu. Magufuli hana maajabu yeyote wala hampiti Rais yeyote aliyetangulia katika kazi.Mna machozi mengi nyie mliozaliwa kuwa watumwa wa watu,
Kazi yenu hapa duniania ni kutukuza wengine
Hamuamini kama mnaweza kuwa au kufanya kama wengine
.magu alifanya kitu gan extraordinary ambacho wengine hawezi fanya
Labda Nikuulize asili yako unatoka mkoa gani ?Tuwekee picha yako basi Comrade ili tuone namna ulivyokuwa unabubujikwa na hayo machozi. Si unafahamu kuna watu humu jukwaani (nikowemo mimi), bila ya uthibitisho wa picha huwa hatuamini!!
Hapana sio kujitetea , ni uhalisia kuna wafuasi wa vyama hao piga ua Hata kufanyike kosa gani hawezi kupinga chama chake na kuna wasio na chama ( independent) wao yoyote anaeleta sera nzuri za maendeleo na kutekeleza wanamuunga mkono .Mbona paragraph ya mwisho unajitetea?
Nafikiri upo mbali na uhalisia au umeamua kupinga makusudiUmeandika kama Lucas chawa
Na ndiyo maana kwenye kampeni yake ya uRais 2015 kauli mbiu ilikuwa Chagua Magufuli.Kuhamisha serikali dodoma,
Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme,
Ujenzi wa Treni ya mwendokasi,
Ujezi wa madaraja, wami na mengine
ni kielelezo cha mtu aliyekuwa imara,mtu asiyefuata siasa za maji taka za chama chake.
Viva JPM.
Unataka ulinganishe kama na mimi nastahili kububujikwa na machozi kama wewe nikipita kwenye hilo daraja, au!!Labda Nikuulize asili yako unatoka mkoa gani ?
Watu kutoka tanga , Kilimanjaro , Arusha , manyara watanielewaUnataka ulinganishe kama na mimi nastahili kububujikwa na machozi kama wewe nikipita kwenye hilo daraja, au!!
Sawa Comrade.Watu kutoka tanga , Kilimanjaro , Arusha , manyara watanielewa
Coincedene ya ajabu nilikuwa nalifikiria lile dara muda si mrefu, naingia jukwaani naona uzi wakeHuyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.
Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.
Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.
Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .
Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .