Mkuu ukipita usiku utasema ni USA au Europe au japan !Coincedene ya ajabu nilikuwa nalifikiria lile dara muda si mrefu, naingia jukwaani naona uzi wake
Ilikuwa fasta nikasahau Picha lakini nikipita Tena soon nitachukua Picha nirusheWeka picha mkuu
Kwani huyu Chawa alishapata simu siku hizi,?Haya mambo ya kububujikwa na machozi nilifikiri yanamtokea Lucas Mwashambwa peke yake eti!
Hujamalizia... R. I. P John classmate 😊R.i.P John....😥
Ulilia kuwakumbuka ndugu zako waliokufa usitudange bwanaHuyu Bingwa alikuwa hajui siasa lugha yake ilikuwa kazi tu.
Kama angekuwepo huyu bingwa ni hakika spidi ya maendeleo Kwenye hii nchi ingekuwa yenye kasi ya kustaajabisha.
Kitu kingine alinifurahisha Huyu Mzee ni kuwa na udhubutu wa kufanya kitu Hata Kama kwa wengine itaonekana haiwezekani.
Lakini kwakuwa sisi ni binadamu inatubidi kumshukuru MUNGU kwa kila jambo .
Haya ni maoni yangu kama independent sina mrengo wowote .